Kinywaji cha Mo Extra: Ni mimi tu au na wengine...?

Kinywaji cha Mo Extra: Ni mimi tu au na wengine...?

Nilikunywa siku moja niliumwa sana kichwa na joto la mwili lilipanda sana
Nilijitahidi kunywa maji mengi na baadae hali ilikaa sawa ila siwezi kutumia tena hii
 
Bas itakuwa una high blood pressure maana ukiwa physical fit energy ina hamia chin ktk niaje
 
Sidhani kama yeye mwenyewe anatumiaga hiki kinywaji
 
Vitu vyenye cafein vimenishinda ukinywa moyo kama unataka kuchomoka ukimbie kichwa kinauma
 
Mnaambiwa kila siku hiv vinywaji vya energy si vizuri Huwa nawahurumia sn wanaokunywa redbull,inaua acheni.

Kunywa juice ya kutengeneza ya parachichi,embe,n.k


Kuna mtu anakunywa kila siku asipokunywa hujihisi vibaya
 
Hizi energy drinks zipo for special purposes.... Umeenda shamba, porini, kazi ngumu etc piga moja uongeze nguvu uendelee na kazi... Sasa wewe unatoka usingizini unapiga energy...
Yani Mimi kama sinywi pombe nakunywa maji au natural juice hayo maenergy sio kabisa.
 
Nilikunywa ghafla nikaanza kujisikia vibaya mnooo ....naona giza.... mapigo ya moyo yanaenda kasi si kawaida....kwenda hosp nikaambiwa nisirudie kunywa hicho kinywaji maana huwa na tatizo la presha ya kupanda kwa hiyo ni hatari sana kwangu.
Funguka zaidi kuanzia asubuhi mpaka unainywa ulifanya kazi gani?
 
Sina uhakika mkuu,cha muhimu ni kuwa kila unaponunua hivi vinywaji ni vizuri ukasoma Nutrition facts ili ujue ni kinywaji gani kinakufaa,mfano mimi kuna kipindi nilitumia sana kahawa ikaniletea shida ya hypertension,toka wakati huo ninaiogopa na nina miaka zaidi ya miaka15 sijawahi tumia kinywaji chenye caffeine...
Kama kahawa ingekuwa na shida unayojaribu kueleza basi wengi wangeshaacha... Wewe mwili wako kushindwa kuhimili kahawa si kwa wote..
Angalia tafiti
 
Do you know what is DNA and it's correlation with energy drinks??
People are killing themselves by drinking chemical beverages.
Mnaharibu DNA zenu na kuongeza free radicals.
Tumieni maji, fresh juices, matunda na mbogamboga.
 
Habari waungwana, jana nilinunua kinywaji cha MO EXTRA nikanywa.. Baada ya muda fulan nikaanza kujisikia tofauti...

Maumivu kiasi upande wa moyo kisha yakapotea...

Maumivu ya abnomial hasa upande wa kulia kupanda juu hado katikati ya kiuno na ubavu wa mwisho.... Usawa wa figo

Uvivu katika kufikiri ilhali najisikia uchangamfu kiasi....

Kuna aliyewahi kujisikia hali hii baada ya kutumia hiki kinywaji?

Wajuvi wa afya mna maoni gani juu ya kilichonisibu?.. View attachment 1145914
Wasitumia caffein na wanaoshabikia YANGA vinawasumbua sana hivi vi Mo Xtra
 
Back
Top Bottom