sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Limezimika kwakuwa betri low chaji
Ahaa haa mkuu
Limezimika kwakuwa betri low chaji
Limezimika kwakuwa betri low chaji
Mmmmmmh
Mwanzo nilikuwa mbishi sana juu ya uwepo wa hivi viumbe...lakini kuna cku 2003 nilikutana nsvyo viwili...lakini vile vilikuwa vifupi sana tofauti na hiki!
Ilikuwa ni usiku wa 03:00am!
Ni kweli kabisa vinyamkera ni vifupi sana
Halafu angalia naniliu yake alivyojaaliwa
khee hicho kinafanyaga nini?
Ni kweli mkuu, from your knowledge...je hawa ndio misukule? Km jibu ni hapana, je wana uhusiano gani na binadamu wa kawaida??? Wanakula nn? Wanaishi ktk mazingira gani?😕
Hahahaaa
Hivi Vijitu Vinakula Nini?
khee hicho kinafanyaga nini?
Kinaiba ela:sly:
Tumsubiri mshana jr aje atupe somo!
kinipitie mbali... ila naweza kuniibia pesa bankKinaiba ela:sly:
sasa vinaweza kuingia ndani kwa miugiza ? au kwa njia kama za mashetani au majini"?Hivi vidude ni troublemakers visumbufu na vinavyopenda mno kuwachokoza wanawake na vinapenda mno kufanya mauzauza lakini havina madhara kivile na ni vioga Saana...hupenda kufanya mambo yake kwa kushtukiza kujificha na kuvizia