vinikome aiseeeMsivichukulie poa Vina mambo mengiView attachment 280624
Punda hafai kitu hapo
Mwanzo nilikuwa mbishi sana juu ya uwepo wa hivi viumbe...lakini kuna cku 2003 nilikutana nsvyo viwili...lakini vile vilikuwa vifupi sana tofauti na hiki!
Ilikuwa ni usiku wa 03:00am!
Tuanzishe huo mrad jiran viwe vinatuibia hela benki:sly:
Aisee sijawah kuvikuta kokote na sitaki hata kuviona
Wap ilikuwa mkuuu
Ilikuwa huko kijijini kwetu huko Bukoba mkuu!
Mmmmmmh
Usiombe ukakutana nachoooo....
Duuh..hivyo viumbe nliviona umbwe huko miaka mingi sana huko...
Mm nimewahi pia kukutana na jini nikiwa darasa la4
Umeogopa mtalim.. mbo!!
Hahahaaa Hahahaaa Hahahaaa JF JF JF shikamoo JF