NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,006
Eti bana,mtuongezee nguvu aisee angalau na sisi tufurahi kwakweli.Yaaan m Chelsea ila wamenifurHishaa sana
Ww jamaa bhana em chunguza system yako wa akili kama ziko sawaInakuwaje wanajamvi!
Bwana Yesu asifiwe na awabariki wote hadi mshangae!
Tukio la kuogopesha la kigaidi leo lililopelekea kupotea kwa maisha yasiyokuwa na hatia ni tukio la aina yake.
Nimechunguza ile Coaster Gaidi alisimama kando yake ilikuwa na picha ya Yesu nyuma.
Bwana ndie mchungaji wetu hatutapungukiwa na kitu. View attachment 1908233
Hao ni watu wawili tofauti, acheni kulazimisha mambo tatizo lenu hamtaki kuelimikaOna sura za magaidi wenzake!! Ccm wanavuna walichopanda!!
Hata Kama alidhurumiwa kitendo cha kushambulia polisi na kubeba silaha ya kivita alijiweka kwenye nafasi ya kushambuliwa piaNi tukio la kushangaza na lenye maswali mengi kwa sasa hivi hakuna ajuae Ukweli ngoja tusubiri taarifa ya jeshi la polisi.
Mpaka muda huu tayari ndugu wa Bwana Hamza wamechukulia wako polisi kwa mahojiano zaidi.
Lakini tujiulize
1. Hamza ni nani ?
2. Ni raia wa Nchi gani ?
3. Anafanya Kazi gani ?
4. Kama tukio hili tutaliweka kwenye kundi la Ugaidi tujiulize kwanini shumbulio lake liliwalenga Askari polisi pekee licha kuwa na nafasi ya kuwadhuru raia waliokuwepo karibu nae mfano kwenye Daladala.
4. Ukitazama vizuri baadhi ya video utaona jamaa alikuwa anashambulia na kukwepa (swali) mafunzo haya aliyapata wapi au tuseme ameiga kwenye Movie??
......................
Huo ni Upande mmoja wa maswali lakini Kuna upande mwingine umejaa tetesi kwamba huyu Bwana Hamza ana mgodi huku Chunya mkoani Mbeya ambao waliachiwa na Marehemu Baba yao. Tetesi hizi zinadai kwamba siku ya tukio Bwana Hamza alikuwa kwenye mipango ya kufanya Biashara ya Madini na suala hili Kuna maafisa wa jeshi la polisi walikuwa wanalijua sasa basi Kuna kitu cha ajabu Sana kikatokea na kukwamisha hiyo biashara. Ni kitu gani hicho ngoja kwanza jeshi la Polisi limalize Kazi yake May be litatueleza ukweli narudia tena May be.
**********
REJEA.
Nenda kwenye Post za Millard Ayo (Instagram) Kuna Dereva tax anaefanya shughuli zake karibu na nyumbani kwa Akina Hamza amekiri ni kweli Hamza na ndugu zake wengine waliachiwa Mgodi huku Chunya mkoani Mbeya na Marehemu Baba yao.
Lakini pia Kuna kipande cha ujumbe amekipost Le Mutuz nitakiweka hapa ili uunganishe matukio.
Swali la Mwisho. Hamza ni kichaa au ana tatizo la Akili ??
Siku chache zilizopita Kuna watu walikamatwa na Madini feki huko Dar es laam. Please hii nayo usiiweke mbali ukianza kuunganisha matukio
View attachment 1908534
WASOMALI HAWANA MAMBO YA KUCHEZEANA, KAWAIDA, KITU KAMA DUKANI KWAKE HAKUNA BASI ATAKUELEKEZA DUKA LA MWENZAKE AU ATAKWENDA KUKUCHUKULIA HASWA, NI WATU AMBAO WANAPENDA KUBEBANA SANA, SASA HAWA NDUGU HAWAWEZI KUMFANYIA NDUGU YAO HATA SIKU MOJA.NImeonaa JAMAA MMOJA KATOA.MAWAZO KAMA HAYA PIA AKASEMA KAMA SIO DHULUMA BASI NDUGU ZAKE WAMEMCHEZEA ILA.UKWELI UTAWEKWA HADHARANI??
Oya wazee, em tumieni akili hata ndogo tuu. Video za mwanzoni ni ile yupo karibu na daladala na bajaji huku tayari akiwa na silaha akipiga juu sasa kama polisi walinyang'anywa silaha ilikuwaje mpaka yupo pale karibu na daladala hakuna polisi kuja kumshambulia mana alipora silaha.?
Inamaana alienda kupora silaha halafu akaondoka hilo eneo bila tatizo lolote mpaka kufika kule kwenye daladala.?
Zile silaha sijui alizipataje lkn kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kusema polisi waliporwa silaha.
Vitu vingine ni kutumia akili za kuzaliwa tuu wazee
Nipe majibu yako baada ya kuchunguzaAcha ujuaji! Chunguza kwanza jambo kabla hujakosoa watu.
Huyu ni anafana sura za wale waliovamia west gate - shabab ( al-shabab)Jamaa kwenye video anaonekana kavaa kikofia flani hivi chechefu.
Mpigie huyu mwenye namba hii 0715132277 ni rafiki yake Hamza atakupa habari zake zoteKazi ipo kuja kuupata ukweli yatasemwa mengi sana
100% Mkuu, Masoud Masoud aliwahi kusema waanfishi habari wengi Bongo hawana ufahamu wa mambo. Leo nazidi kumuamini.Mkuu umeupiga mwingi, kwa taarifa zinazotajwa mpaka sasa yule ni mshambulizi,
1. Hawezi kuwa jambazi kwa sababu mpaka sasa hatujaambiwa mali alizopora...
Huyo gaidi kavaa magwanda ya chadema.Kwa tukio lililotokea leo jijini Dar, tusahau kabisa kuona mzungu yeyote akitia mguu mahakama ya Kisutu au kupiga kelele juu ya kukamatwa kwa Mbowe. Kwa mara nyingine Kila mmoja ameona hatari kubwa inayoweza kuipata nchi kutokana na uhalifu uwe wa aina ya ujambazi au ugaidi. Mungu atuepushie mbali...
Mpigie Selemani 0715132277 atakupa ukweli wote yeye husindikizana na Hamza kwenye soko la madiniNgojeni uchunguzi huru ufanyike. Kumbe aliyedhulumiwa ni baba yake? Msomali anapewa migodi Tanzania? Kwanini hakwenda kwenye vyombo vya dola au kuwashughulikia wabaya wa baba yake? Je huyo mlinzi aliyeuawa naye alikuwa na kosa gani? Ugaidi kwa tafsiri ya haraka ni kusababisha terror kwa wengine. Hivyo, alichofanya ni ugaidi na walichokuwa wamefanya polisi kama ni kweli ni dhuluma.
Kwani Hamza gaidi?Tatizo mama Samia anajifanya mjuaji kudharau watangulizi wake wote waliowakomalia migaidi hiyo mishehe ya uamsho....
Walio uliwa ni kabla ya video inadaiwa bastora ndiyo iliyo tumika hizo bunduki kachukua kwa polisi alio waua ,kama zimeua ni mlinzi wa kampuni binafsiHivi ndo aliyefariki maana ripoti inasema mlinzi 1 ameuawa pia