Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Wafuasi wa Lowasa mjiandae kisaikolojia.Huyo mtu wenu hawezi kuwa na nguvu kuliko wenye dola
Wenye dola ndio hao hao wapo upande wa lowasa,mbona unashindwa kuelewa?mimi siyo lowasa
Wafuasi wa Lowasa mjiandae kisaikolojia.Huyo mtu wenu hawezi kuwa na nguvu kuliko wenye dola
Wafuasi wa Lowasa mjiandae kisaikolojia.Huyo mtu wenu hawezi kuwa na nguvu kuliko wenye dola
Wingine tunasubir ushindi wa eng. John pombe magufuli
Huyu jamaa anaandamwa...duh..wanaomuandama ni ccm wenzake..sielewi kuna nini nyuma ya pazia
HAKATWI MTU HAPA, PATACHIMBIKA! ccm kwa swaga mko juu sana
Fundi mzuri lazima ajue KUJENGA na KUBOMOA...........cool:
Ccm haiwezi kusambaratishwa na mchumia tumbo. Sana atasambaratika mwenyewe
hakatwi mtu hapa
Mjumbe hauwawi isitoshe huyo mzee ni mnafiki tu.Huyu mzee familia yake tu imemshinda.Angalia yule mwenye jina la chifu wa kabila moja hapa nchini aliyewatuma yule video modo na ndugi yake sauzi,ndio karithi akili za baba yake.Baba ufisadi mtoto ngada kuna mlezi mule kweli,huyohuyo anataka kutuletea fisad mwenzake,
ukawa na wao wameniangusha mno kwani walishindwa kung'amua mtego mkubwa ambao ccm wamewafanyia ukiwa ni wa kimkakati haswa na mpaka waje kushtuka wazungu husema " it is too late ". unawaacha ccm watiririke tu kuchukua fomu huku vtombo vyote vya habari vikiwa navyo vimetekwa kwa kufanya agenda setting ambayo inawapa coverage ya kutosha ccm kama ccm na hao watangaza nia kwa kipindi cha miezi miwili na nusu unategemea nini? na hata kama ukawa watasema kuwa wanangojea ccm imtangaze mgombea ndiyo wao waanze kuamka bado haitawasaidia kivile kwani ninavyowajua ccm kwa mipango, mbinu na mikakati hata baada tu ya hiyo july 12, 2015 watahakikisha wanazidi kukamata airwaves zote za media hapa tanzania na kuzidi kukipa chama publicity kitu ambacho kitawasaidia kwa kiasi kikubwa tu. ukawa ile msemo wa wahenga wa " aliye juu mngoje chini " umewaangusha na utawaponza na badala yake mngeubadilisha huo msema na kuwa " aliyejuu mpandie huko huko ng'adu kwa ng'adu ". ushauri wa bure tu kama mtanzania mwema nisiye na upande nawashaurini ukawa sasa nguvu zenu nyingi ziwekeni kuchukua majimbo mengi ya ubunge ili muwe wengi bungeni kuzidi wabunge wa ccm na hapo nadhani mtakuwa na nguvu kubwa ya kuiwajibisha serikali na nchi itakaa sawa ila kwa upande wa nafasi ya urais nasikitika kusema kwamba " mtashindana tu lakini hamtashinda " na hii ni kutokana na mapungufu makubwa ya kimkakati mliyoyafanya.
****wengi wape ni ngumu sana kwa chama kama ccm***
ccm ni mabavu,magoli ya mkono na maushenzi mbalimbali!
Asiyekubali kushindwa si mshindani
Kwanini hafi huyu mzee..
Nafurahi kumuona Kingunge aliyekabidhiwa jukumu la kukoroga zege kwenye ujenzi wa mnara wa Babeli, anamaamuzi ya kupunguza au kuongeza cement kwenye zege hiyo.
Yuda alimsaliti Yesu baada ya kulipwa fedha itakuwa Kingunge na CCM