Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Tatizo ambalo Watanzania hawajali appreciate ni kwamba kinachopiganiwa leo hii sio MTU bali ni MFUMO CCM

Ukichagua CCM umechagua business as usual

Ukichagua Lowassa amechagua business as usual

Ukichagua CCM umechagua North Korea, ukichagua UKAWA umechagua South Korea.

Wakati tunaumiza akili jinsi ya kupunguza UKUBWA wa baraza la mawaziri. Lowassa (CCM) anaongelea kuongeza UKUBWA wa baraza la mawaziri.

Sitashangaa kama Lowassa akienda Monduli akaahidi kuunda Wizara ya kushughulikia kero za WAMASAI!

Watanzania kama tunamkataa SHETANI basi tumkatae na mambo yake yote.
 
Nani kampa mamlaka ya kupiga kampeni? Chama kina utaratibu wa kutafuta udhamini na si unasimama tu barabarani then unaropoka unayoona yanafaa
Acha ukichaa wewe mwanamke wahi mirembe,we unaona ni lowasa pekee anapiga kampeni
 
Kwani dar Es salaam Ndio chanzo cha umaskini wetu??
Mkuu wa mkoa dsm, waziri dsm , meya dsm !!! Bonge la filamu

Mbona hakuna waziri wa Nairobi Na mambo yanaenda???
 
Kada maarufu wa CCM,mzee Kingunge, amesema hawatakubali kuona jina la Lowassa linakatwa.

Chanzo: Nipashe

Hataki jina la kibaka likatwe sababu parkings za Dar zote atanyang'anywa akii asiye fisadi na atakosa ulaji. Wazee wa umri, wazee wa dhuluma na ufisadi wanatapatapa kuu la majambazi liingie Ikulu. Thubutuuuuuuuuuuu jina linakatwa mapemaaaaaaaaaa mzunguko wa kwanza hatusubiri robo fainali.
 
Tatizo ambalo Watanzania hawajali appreciate ni kwamba kinachopiganiwa leo hii sio MTU bali ni MFUMO CCM

Ukichagua CCM umechagua business as usual

Ukichagua Lowassa amechagua business as usual

Ukichagua CCM umechagua North Korea, ukichagua UKAWA umechagua South Korea.

Wakati tunaumiza akili jinsi ya kupunguza UKUBWA wa baraza la mawaziri. Lowassa (CCM) anaongelea kuongeza UKUBWA wa baraza la mawaziri.

Sitashangaa kama Lowassa akienda Monduli akaahidi kuunda Wizara ya kushughulikia kero za WAMASAI!

Watanzania kama tunamkataa SHETANI basi tumkatae na mambo yake yote.

Good say
 
Wewe suruhisha mpasuko ndani ya chama chako ccm,habari za ukawa waachie wana ukawa

thibitisha huo u ccm wangu. kwahiyo mtu akisema tu negative ya chama fulani basi tayari ndiyo amekuwa mtu wa ccm? ninachokifanya ni kitu kinachoitwa " critique " na sipo humu kwa mapenzi ya chama fulani bali natoa tu mawazo yangu kama mtanzania very loyal.
 
thibitisha huo u ccm wangu. kwahiyo mtu akisema tu negative ya chama fulani basi tayari ndiyo amekuwa mtu wa ccm? ninachokifanya ni kitu kinachoitwa " critique " na sipo humu kwa mapenzi ya chama fulani bali natoa tu mawazo yangu kama mtanzania very loyal.

Kuthibitisha kwangu ni hayo maneno yako,haiitaji kuwa na degree kujua nia yako
 
Hataki jina la kibaka likatwe sababu parkings za Dar zote atanyang'anywa akii asiye fisadi na atakosa ulaji. Wazee wa umri, wazee wa dhuluma na ufisadi wanatapatapa kuu la majambazi liingie Ikulu. Thubutuuuuuuuuuuu jina linakatwa mapemaaaaaaaaaa mzunguko wa kwanza hatusubiri robo fainali.

Hiyo ni imani yako,ila ukweli unabakia pale pale kuwa lowasa hawezi kukatwa kwani kwa sasa ccm hakuna mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu,na akikatwa ndio ccm vipande vipande
 
Kada maarufu wa CCM,mzee Kingunge, amesema hawatakubali kuona jina la Lowassa linakatwa.

Chanzo: Nipashe

Huyu mzee asamehewe bure kwani kwa umri huo amechoka kiakili. Hata mwalimu alimtilia shaka toka mwanzo kutokuwa mwadilifu na hahubiri kile anachokiamini haswa azimio la Arusha. Kwa miaka yote hiyo toka uasisi wa chama na kwa elimu aliyo nayo kwa wakati wa baba wa taifa lazima angempa nafasi kubwa sana serikalini.Yeye anazielewa vyema taratibu za chama kumpata mgombea nafasi ya uraisi kuwa kuna vikao vya kuwapima na kuwachuja watia nia lakini angalia anayoyafanya tena makusudi kabisa huku akielewa anakivuruga chama chake mwenyewe. Ni bahati tuu maraisi wote walioongoza nchi waliendelea kumheshimu kwa uasisi wake wa chama na serikali kwa kuendelea kumpa heshima na vyeo vya uwezo wake vinginevyo angeshatupwa nje siku nyingi. Tunao wengi tu tena walipigana vita kuitetea nchi hii na wametulia uraiani. Yeye ni nani katika taifa hili kuiamrisha ccm na serikali halali iliyopo madarakani kufuata matakwa yake tena kwa lazima. Ameaminishwa nini na nani? Haya ni madhara ya kutokuwa na dini?Naomba chama kimvue uanachama wake mara moja. Hivi hadi leo na ukingunge wake hajaelewa tafsiri ya serikali ni siri kali?Kwa usaliti huu anyanganywe hata pasport na afuatiliwe nyendo zake kwani hana simile kwenda kuuza siri za chama na serikali. Hawa wanaweza kuwepo wengi tusubiri watakaoachwa kwenye uteuzi mtawajua tu.
 
Kuthibitisha kwangu ni hayo maneno yako,haiitaji kuwa na degree kujua nia yako

yawezekana marehemu sheikh yahaya hussein ameacha warithi wake wengi tu wanaoweza kubashiri hata yasiyobashirika tena kimantiki.
 
Atuachie Tanzania yetu, ana miaka michache tu hapa duniani atawafuata akina Kawawa, Abdu Jumbe na Nyerere ambao amecheza nao kisiasa. In short lowasa na kingunge wapumzike, lowasa akiwa rais wote wawili hata muhula mmoja hawamalizi.
 
Back
Top Bottom