Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Aliyesema ng'ombe hazeeki maini alikosea.................
"MANY PEOPLE ARE ALIVE ONLY BECAUSE IT IS ILLEGAL TO SHOOT THEM" huyu mzee ni mmoja wapo.
SASA NANI ATAKUBALI JINA LAKE LIKATWE???? Chukulia mfano kila mtangaza nia hatakubali jina lake likatwe itakuwaje.

Kata hao wengine lkn siyo lowasa
 
haa haa kingunge mwaka huu amedhamiria kufa na lowasa. jk tumbo joto. chezea nguvu ya mafisadi wewe. ccm wakijichanganya kumpitisha lowasa tano bora imekula kwao. utakuwa ni ushindi wa kimbunga kwenye mkutano mkuu...
Kuu vita ya panzi hiiyoooooo
 
Huyu jamaa anaandamwa...duh..wanaomuandama ni ccm wenzake..sielewi kuna nini nyuma ya pazia
 
Kada maarufu wa CCM,mzee Kingunge, amesema hawatakubali kuona jina la Lowassa linakatwa.

Chanzo: Nipashe

Huyu mzee familia yake tu imemshinda.Angalia yule mwenye jina la chifu wa kabila moja hapa nchini aliyewatuma yule video modo na ndugi yake sauzi,ndio karithi akili za baba yake.Baba ufisadi mtoto ngada kuna mlezi mule kweli,huyohuyo anataka kutuletea fisad mwenzake,
 
Wako bize kununua wapambe. Utazan wamembiwa wakiwa na wapambe weng watapata kura nyingi.
 
Kada maarufu wa CCM,mzee Kingunge, amesema hawatakubali kuona jina la Lowassa linakatwa.

Chanzo: Nipashe

Unajua nchi hii bwana kila MTU anaongea kutetea maslahi take ..kingunge alichokifanya no kutuo onto kwa watu wenye hekima ndogo ambao maneno na matendo yao yamekua yakitaka kuonesha kuwa lazima Lowasa akatwe..amesisitiza kuwa wajumbe wa vikao vya mauzi wasiendeshwe #utashi wao
..sasa kwa chuki zako unataka kuharibu maana nzuri ya mzee..egoism him basi..poor tz
 
Kingunge anachekesha sana hivi haoni huyo anae mtetea ckuile anatangaza nia kingunge alisimama mda mrefu kuliko yeye halafu ndomana selikari ya CCM inabolonga nchi kwasababu ya kuckiliza ushauri wa wazee kama kingunge labda ndondagu ya CCM

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Hawa ndio watanzania wenzetu ambao ukiwauliza kwanin nchi hii ni maskini wakati ina raslimali nyingi watakuambia ni mipango ya mwenyezi mungu, mataifa tajiri yanatunyonya, elimu duni na vitu vya aina hiyo.

Lakini ukweli ni kuwa uwizi ndio sababu kubwa kwanin sisi tuko na hali hii duni.
 
Hivi huyo kigunge thamani yake si nisawa na maiti...! Kumfanya aamue ni sawa na kuruhusu maiti apate fursa ya kufanya maamuzi...!
 
Back
Top Bottom