Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Kingunge: Hatutokubali Lowassa akatwe jina

Nawaza kama watu wanaijuwa serikali, nawaza kama watanzania wanajuwa kuwa hili taifa linawatu na mataifa wanayo saidia ktk ulinzi na usalama. Hili ni taifa lenye heshima na dunia nzima wanajuwa haiwezekani na mpaka hata Yesu anarudi watu ama mtu kuingia ikulu kwa ajenda ama masilah binafsi bila mamlaka zilizopo kuchukua hatuwa. Kweli ni bora watu wakae kimya kumsubiri Rais ajaye pasipo kuapizana nani anajuwa kuwa Lowasa hakatwi jina?

Unajidanganya serikali imeshikwa mkononi na mafisadi,bila hivo wangeshamshitaki kuhusu richmond,hata escrow walishindwa
 
Hujui kuwa kingunge ndiye mwenye chama?

Hana hata nasaba na chembe ya damu wala jasho la chama sembuse nchi. Anadhani watu hawajui kuwa alibebwa na Mwl. kama shukrani kwa baba yake ambaye alikuwa ni mganga tu wa jadi. Hana chochote cha kumpa credit na ndo maana Mwl. alikuwa akimtosa.
 
Hawatakubali yeye na nani? Hajui enzi zake zimeisha? Huyu Mzee sasa hivi hajitambui na hafuati tena misingi aliyoamini.

Unamdhalau sasa baada ya kuwa upande wa lowasa? Kwa taarifa yako lowasa hakatwi
 
Nina mashaka na busara za huyu mzee inamaana kwakwe wakikatwa wengine sawa ila lowasa hapana.

Hili ndilo tatizo la kununuliwa uzeenu na mafisadi

Hakuna wa kumpinga huyu mzee,na lowasa lazima anapitishwa
 
We hujui kama kingunge anaingia kamati kuu kama waasisi wa nch h?labda useme tu haruhusiwi kupiga kura,
 
safisana kingunge CCM,haiwezi kumkata mtu eti kwa kigezo cha sio mwadilifu.ni nani aliye mwaminfu ccm.waliopanga kuliibia shirika la umeme kupitia escrow na kufanikisha mpaka wafadhili wakasitisha misada leo wanamshoonyeshea mkono Edo.kingunge hongera akikwatwa mtu lazima pachimbike

likes1000√
we are crazy!
TUNA MHUKUMU MTU MMOJA TU! WAGOMBEA KARIBU 10,
**tunasahau madudu hatari! yaliyo isababishia GOVT kunyimwa misaada!**
KUMBE FISADI HUMWOGOPA FISADI!
 
Back
Top Bottom