nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
njaa, unafiki na kubwa zaidi kama siyo kuliko vyote ni ignorance.
yote kwa yote ni udhaifu wa kiuongizi ndani ya ccm.
njaa, unafiki na kubwa zaidi kama siyo kuliko vyote ni ignorance.
Hivi chadema wanatangaza mgombea lini?au wanasubiri masalia ya CCM
Wamekijenga na sasa wanakibomoa . . . . . . .wanasema kila siku chama kina wenyewe. . . .So waacheni
Fundi mzuri lazima ajue KUJENGA na KUBOMOA...........cool:
Nawaza kama watu wanaijuwa serikali, nawaza kama watanzania wanajuwa kuwa hili taifa linawatu na mataifa wanayo saidia ktk ulinzi na usalama. Hili ni taifa lenye heshima na dunia nzima wanajuwa haiwezekani na mpaka hata Yesu anarudi watu ama mtu kuingia ikulu kwa ajenda ama masilah binafsi bila mamlaka zilizopo kuchukua hatuwa. Kweli ni bora watu wakae kimya kumsubiri Rais ajaye pasipo kuapizana nani anajuwa kuwa Lowasa hakatwi jina?
CCM wakimshindwa, wapiga kura tutamkata tu, ikulu haendi Lowassa, nyie mnaopiga mpunga wake, pigeni tu ila mwisho wa siku muungane na sisi rusiopenda kununuliwa kumwadabisha.Hakuna wa kumkata jina lowasa