Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,957
- 8,005
Ni ili kurahisisha utatuzi wa matatizo lukuki ya jiji la Dar, kwamba waziri akilala akiamka anatoa maamuzi ya haraka kwa manufaa ya wananch. Sambamba na hilo kila mwaka zitajengwa nyumba millioni moja kuendana na sera itakayotungwa kwa ajili ya jiji hilo. Nipashe siku ya leo.