Hivi Kingunge na Warioba nani mnene?
Kingunge, you are very stupid , very stupid of the highest degree! Kila mgombea/mtia nia watu wake wakisema kuwa hatukubali mtu wetu akatwe mustakabali wa nchi hii utakuwaje! You are stupid again!
Nina mashaka na busara za huyu mzee inamaana kwakwe wakikatwa wengine sawa ila lowasa hapana.
Hili ndilo tatizo la kununuliwa uzeenu na mafisadi
Kama lowasa akubali kukatwa nana atakubali kukatwa???
haa haa mkuu kingunge ni kilongola tu aliyejitoa mhanga kumsemea lowasa na wenzake. nyuma yake wako wanaccm wengi waliotekwa na lowsa...
haa haa unadhani nini kimembadilisha?
wazee hawa na watia nia wa ccm inabidi wawe makini sana na ndimi zao mbele ya jamii la sivyo muda mfupi kabla au baada ya uchaguzi tanzania inaweza kuwa uwanja wa vita na tusikubali tufikishwe huko wakuu. mara ccm itashinda hata kwa goli la maradona na mara tena mzee na kada mkubwa tu wa chama nae anasema kuwa hawatubali mtu wao akatwe. hapa anataka kutuandaa vipi watanzania kisaikolojia?
Hivi chadema wanatangaza mgombea lini?au wanasubiri masalia ya CCM