Nimepitwaje na uzi huu wa kifamilia jamani? Mke mwenza na mkweo Husninyo mna kesi ya kujibu. Kwa nini hamjani 'dipu' toka jana? Hongera mke mwenza!
Nimeshindwa kujizuia.Ninapenda sana michango ya King'asti.
Anachanganya utani na umakini na kutoa kitu makini.
Je wewe mwenzangu unasemaje kuhusu huyu mdada?
Samahani King'asti, nimekuanzishia mada kwa nia njema.
Hongera mwaya!
Nitaomba Mods waingilie kati kama kuna atakayepotosha uzi.
Nimeshindwa kujizuia.Ninapenda sana michango ya King'asti.
Anachanganya utani na umakini na kutoa kitu makini.
Je wewe mwenzangu unasemaje kuhusu huyu mdada?
Samahani King'asti, nimekuanzishia mada kwa nia njema.
Hongera mwaya!
Nitaomba Mods waingilie kati kama kuna atakayepotosha uzi.