Black Rose
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 243
- 171
Nimeshindwa kujizuia.Ninapenda sana michango ya King'asti.
Anachanganya utani na umakini na kutoa kitu makini.
Je wewe mwenzangu unasemaje kuhusu huyu mdada?
Samahani King'asti, nimekuanzishia mada kwa nia njema.
Hongera mwaya!
Nitaomba Mods waingilie kati kama kuna atakayepotosha uzi.
Anachanganya utani na umakini na kutoa kitu makini.
Je wewe mwenzangu unasemaje kuhusu huyu mdada?
Samahani King'asti, nimekuanzishia mada kwa nia njema.
Hongera mwaya!
Nitaomba Mods waingilie kati kama kuna atakayepotosha uzi.