stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,746
- 27,214
Wadau hawa jamaa wa Zuku wametoka hapa kwangu sasa hivi kujipigia debe ili ninunue king'amuzi chao,sasa kwa anaejua tafadhali anijuze vipi kuhusu ubora wa matangazo yao na uzuri wa channel zao,naombeni mniwahi jamani kabla jamaa hawajanilia hela zangu maana tumekubaliana waje tena Ijumaa.