King'amuzi cha kileleni feki...

hahahahaha yaan ruta ,unanidanganya mwenzako ,hivi hivi , huyu NANI unasema wewe? hahaha

let me see you beautiful face....... wahida ..lol
 
Last edited by a moderator:
hahaha ,unavituko wewe ,, waarabu sio wabaya wametutawala zanzibar na tumezaliwa kupitia kwao ,we happy kuwa nao,, ahsante kwa kunikubali na mm nakua minia pia
 
hahaha ,unavituko wewe ,, waarabu sio wabaya wametutawala zanzibar na tumezaliwa kupitia kwao ,we happy kuwa nao,, ahsante kwa kunikubali na mm nakua minia pia

wahida nitumie picha yako niuuone uarabu wako.............
 
Last edited by a moderator:
aa mimi niko black sio mwaarabu ,, tena sio mzuri kabisaaaa ,wala usitake kuona picture utakuja kimbia bure RUTA na sitaki nikukimbize y ar my partner ,,
 
aa mimi niko black sio mwaarabu ,, tena sio mzuri kabisaaaa ,wala usitake kuona picture utakuja kimbia bure RUTA na sitaki nikukimbize y ar my partner ,,

god's work is perfect....... wahida just let me see you
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma, sorry nimechelewa kujibu, lakini weye ndiye uliyeanza kunichekesha ndugu yangu,ila ni kweli haya yapo mbona cha muhimu kuweni makini tu wezi siku hizi wengi sana!
 
Usichezee hawa viumbe wanaaitwa wanawake jamani akiamua kufake kilele na wewe usijue anaweza hata kama umeishi nae miaka kibao acha kabisaaa hahahaha ogopa women!!! wanaume wengi wanapenda kujisifu kishughuli lakini wanashindwa kuwaridhisha wanawake zao bila ya wao kulijua hilo... hatari sana hii....mmmh nimependa wanaume walivyokoment humu lakini mmmhh badooo Mungu awasaidie...nawasilisha..
 
Mara nyingi kuwa macho na mgema unaposifiwa......
Mara nyingi ni kuwa mnywaji anakujengea hoja ya siri....
Mara nyingi mgema huvimba kichwa na kudhani mambo shwari
Mara nyingi mambo huwa siyo shwari hata chembe ila hadaa..
Hivi kileleni feki utakitambuaje?

Mpenzio huweza kujifanya mjuaji kwa ghiliba kibao
Na kujitia karidhishwa na dhoruba ulizomletea!
Kumbe wote ni usanii wake wa kufupisha karaha zako..........
Kwa vile kaboreka huhitaji basi yaishe naye apumzike
Hivi kileleni feki utakitambuaje?

Dalili nyingi hukuachia lakini wewe hukupofusha na misifa!
Siri ya kung'amua utapeli huu ni kumjua mjenga hoja...
Hukusubiri ukikaribia kileleni naye kuanza vioja!
Lengo ni kukuharakisha kwa ukelele na mauno balaa..
Hivi kileleni feki utakitambuaje?

Huku hadaa yake ni kuwa naye umemfikisha alikotaka!
Yawaje kila mechi twende sote kileleni kama siyo gheresha zake?
Ukidhani mpo wote basi nawe kulainika na kujiachia!
Kumbe sasa umekuwa teja wa mbinu zake hadaa..
Hivi kileleni feki utakitambuaje?

Ukiona naye kakomesha vimbwanga vyake baada ya wewe..
Basi jua amekuchora na tafuta mbinu mpya ya kumkabili.......
Hakiki pumzi yake kama nayo imekatika ghafla...
Ukiona kanywea na akushurutisha ubanduke basi jua umeliwa.......
Hivi kileleni feki utakitambuaje?


eeeeeeeee
 
read the face and mind of that woman, aliyefika kilele sura yake huwa imejaa SATISFACTION, ukiwa mtaalamu satisfaction huwezikuifake!! walah nawaambia labda wewe uwe wale wanaume wachoyo wasiopenda kujua kama mwanamke kainjoy kama alivyoinjoy yeye!
 
Mara nyingi kuwa macho na mgema unaposifiwa......
Mara nyingi ni kuwa mnywaji anakujengea hoja ya siri....
Mara nyingi mgema huvimba kichwa na kudhani mambo shwari
Mara nyingi mambo huwa siyo shwari hata chembe ila hadaa..
Hivi kileleni feki utakitambuaje?

Mpenzio huweza kujifanya mjuaji kwa ghiliba kibao
Na kujitia karidhishwa na dhoruba ulizomletea!
Kumbe wote ni usanii wake wa kufupisha karaha zako..........
Kwa vile kaboreka huhitaji basi yaishe naye apumzike
Hivi kileleni feki utakitambuaje?

Dalili nyingi hukuachia lakini wewe hukupofusha na misifa!
Siri ya kung'amua utapeli huu ni kumjua mjenga hoja...
Hukusubiri ukikaribia kileleni naye kuanza vioja!
Lengo ni kukuharakisha kwa ukelele na mauno balaa..
Hivi kileleni feki utakitambuaje?

Huku hadaa yake ni kuwa naye umemfikisha alikotaka!
Yawaje kila mechi twende sote kileleni kama siyo gheresha zake?
Ukidhani mpo wote basi nawe kulainika na kujiachia!
Kumbe sasa umekuwa teja wa mbinu zake hadaa..
Hivi kileleni feki utakitambuaje?

Ukiona naye kakomesha vimbwanga vyake baada ya wewe..
Basi jua amekuchora na tafuta mbinu mpya ya kumkabili.......
Hakiki pumzi yake kama nayo imekatika ghafla...
Ukiona kanywea na akushurutisha ubanduke basi jua umeliwa.......
Hivi kileleni feki utakitambuaje?

[/QUO

Mh!
 
read the face and mind of that woman, aliyefika kilele sura yake huwa imejaa SATISFACTION, ukiwa mtaalamu satisfaction huwezikuifake!! walah nawaambia labda wewe uwe wale wanaume wachoyo wasiopenda kujua kama mwanamke kainjoy kama alivyoinjoy yeye!

muuza ubuyu angalia kwa kicheko na nderemo kibao ukaja kuuziwa ubuyu mbichi.............
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma, sorry nimechelewa kujibu, lakini weye ndiye uliyeanza kunichekesha ndugu yangu,ila ni kweli haya yapo mbona cha muhimu kuweni makini tu wezi siku hizi wengi sana!
[MENTION]
Sydney[/MENTION] tuwe nao macho kivipi yaani nitoe matongotongo machoni kwangu..........
 
muulizen arabela,anavyoenjoy ukipata ki dikoda original ha ha ha mtu hatoki...

[MENTION]Zubedayo Mchuzi[/MENTION] kwa huu musuli kwenye avatar yako lazima hakuna kileleni feki..............
 
Nashangaa umeanza lini kuwa MALENGA WETU. Umechemka sana. Ngoja nimalize kazi fulani hapa ili nimwage views zangu!
[MENTION]
Caroline Danzi[/MENTION] karibu sana....usichelee nakusubiria...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom