Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rubuye123....wewe king'amuzi chako kinakupa ishara zipi za kumfahamu anapofeki? Rubuye123
iknw nthing :A S confused:
Mkuu kuna njia moja kuu ya kutambua kilele feki
mkishamliza mechi na yeye akaku laghai amefika kileleni kumbe hajafika
ni rahisi kumtambua, kwanza atajivuta atakaa kitandani, atachukua simu yake au gazeti/ kitabu atajifanya anasoma au atakuuliza vipi leo hujaja na gazeti la Uwazi,Sani au whatever? au kesho utaondoka saa ngapi?? hapo utakuliwa umeliwa na huyo ni tapeli, na wakti wa mechi alionyesha kafika kileleni..
na aliyefika kileleni live, baada ya Mechi hua anachoka sana ni lazima atauchapa usingizi hata kama ni kwa saa moja
ndio maana mimi huwa sipigi quickies asubuhi,mtu mmoja anaweza akaamka hata saa nne afu mkoloni akam-mind.....lol!
kiukweli hii mimi ni indicator ya kwanza japo pia naamini maumbile yanatofautiana!
Mkuu kuna njia moja kuu ya kutambua kilele feki
mkishamliza mechi na yeye akaku laghai amefika kileleni kumbe hajafika
ni rahisi kumtambua, kwanza atajivuta atakaa kitandani, atachukua simu yake au gazeti/ kitabu atajifanya anasoma au atakuuliza vipi leo hujaja na gazeti la Uwazi,Sani au whatever? au kesho utaondoka saa ngapi?? hapo utakuliwa umeliwa na huyo ni tapeli, na wakti wa mechi alionyesha kafika kileleni..
na aliyefika kileleni live, baada ya Mechi hua anachoka sana ni lazima atauchapa usingizi hata kama ni kwa saa moja
ndio maana mimi huwa sipigi quickies asubuhi,mtu mmoja anaweza akaamka hata saa nne afu mkoloni akam-mind.....lol!
kiukweli hii mimi ni indicator ya kwanza japo pia naamini maumbile yanatofautiana!
wacha urongo binti mzuri!we hujawahi fake orgasm kweli wewe!?maybe ili jamaa amalize tu fasta akuondolee kero au labda hum-feel kabisa ila tu una malengo fulani au labda hata kumfanya tu jamaa yako ajisikie/jione kidume hata kama kiwango chake kinazingua na hafikii cha ex wako!?
I try hard kutopoteza channel wakati wa mchakato mkuu.nazingatia sana muda wa 'matayarisho' na hapa mimi hupata ukweli wote wa kile nitasikia toka kwake baadae!kweli..maumbilie hayafanani,hakuna kanuni lakini kuna ile hali ya 'msingi' kwa almost wanawake wote lazima imtokee kama nimetimiza 'majukumu' yangu ya mwanzo vizuri.hapa hawezi nidanganya kwakweli,labda a-fake mpaka response ya mwili wake inayoonekana waziwazi kwangu,ambayo sioni kama inawezekana!
iknw nthing
kufika kileleni kunategemea na mmejiandaje wote kwa ujumla maana kama hajajiandaa lazima kilele feki kitatokea kwa mmoja wenu
tatizo la hii misimamo ni kuwa ukibanwa kisawasawa huna cha msalia mtume.......................unachotaka ni huduma tu na huduma utapewa kwenye mazingira ambayo siyo lazima haya unayoyasema yawepo..........na ndiyo mwanzo wa kufungashiwa buzi kwenye gunia..... Rubuye123
RUbuye123 yaelekea ni mtu makini sana yaani hupendi mzaha-mzaha kwenye haya majambozi... Rubuye123
Ukiona demu anaomba maji ya kunywa baada ya mechi ujue ulishamfikisha kileleni!
Is it?