King'amuzi cha itv na sahara lini jamani?

Kwangu no signal kwa kwenda mbele, na ikipatikana channels zinatetemeka kama mgonjwa wa degedege! Naona nitalazimika kurudi kwenye enzi ya 'zungusha kushoto' 'tena kidogo''aah' 'rudisha nyuma tena kidogo'!

Ningelikuwa kwenye desktop ningekugongea kitufe cha like.
 
Kwangu no signal kwa kwenda mbele, na ikipatikana channels zinatetemeka kama mgonjwa wa degedege! Naona nitalazimika kurudi kwenye enzi ya 'zungusha kushoto' 'tena kidogo''aah' 'rudisha nyuma tena kidogo'!

mambo ya geuzia mjini....
 
Zimebaki siku chache za kuhamia dijitali naona wanasubiri mitambo ya analogia izimwe kwanza.
 
hii kampuni ya basic transmission sijui imefikia wapi kabla ya kuanza kutoa huduma hii mpya ya digital tv,binafsi ninge suggest wa adopt system ya dvb s na siyo dvb t ili watanzania wote pamoja na wa vijijini wapate huduma hii ya matangazo ya tv kwa mfumo mpya wa digital kwa wakati mmoja,huu mfumo wa dvb t wa minara unaonyesha ume fail hapa tz.ni zaidi ya miaka mitatu sasa tangu startimes imeanza kutoa huduma hii dar lakini mpaka leo coverage imebakia kwenye miji mikuu ya mikoa michache kama tanga arusha moshi mbeya dodoma mwanza tu wakati nchi nzima tuko gizani tu,kwa spidi hii labda itachukua miaka 50 kwa hii syst ya dvb t kusambaa nchi nzima.hii kampuni ingeiga kampuni ya zuku ambayo kwa muda mfupi imesambaa east and cental afrika yote

Nimeona wameenza kutoa matangazo kwenye eatv,Ndugu mlioko mjini au wahusika wenyewe tupeni habari na itakuwa vizuri kama ulivyosema ndugu yangu emike watumie hiyo technology kama ya zuku(DVB-S) ili nasi tuliopo kijijini tupate kufaidi kwani ITV na STAR tv wana package nzuri sana za vipindi na local news zao hua ni bomba sana.Nawasubiri wana jamvi kama kuna mtu ana information za kutosha atumwagie na tujue wanaanza lini maana tumesubiri kwa muda mrefu.
 
Back
Top Bottom