KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Kwangu no signal kwa kwenda mbele, na ikipatikana channels zinatetemeka kama mgonjwa wa degedege! Naona nitalazimika kurudi kwenye enzi ya 'zungusha kushoto' 'tena kidogo''aah' 'rudisha nyuma tena kidogo'!
Ningelikuwa kwenye desktop ningekugongea kitufe cha like.