Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,326
- 92,508
Huenda mimi ndio sielewi basi nielimishwe, lakini kwa upeo wangu mdogo ninavyojua mimi hizo channel ITV, eatv, clouds na channel ten ni FTA channels sasa inakuwaje kifurushi cha Dstv kikiishia wanakuachia Tbc peke yake?
Mimi nina king'amuzi pia cha Star times hawa air time ikikuishia free channel zote zinabaki na unaangalia kama kawaida, sasa iweje Dstv inakata free channels?
Mheshimiwa Nape Nnauye kuli wewe tupo pamoja hapa JF kitambo tu tunakuomba ulipokee hili na ulifanyie kazi haraka, tusilazimishane hela za kula kununua vifurushi.
Kifurushi kikikata kama bajeti hairuhusu then uwe na access ya local free channel basi ili uchague taarifa ya habari uangalie wapi.
Sijawataja Wasafi hapo kwa sababu najua Wasafi ni channel ya kulipia, siyo free channel.
Mimi nina king'amuzi pia cha Star times hawa air time ikikuishia free channel zote zinabaki na unaangalia kama kawaida, sasa iweje Dstv inakata free channels?
Mheshimiwa Nape Nnauye kuli wewe tupo pamoja hapa JF kitambo tu tunakuomba ulipokee hili na ulifanyie kazi haraka, tusilazimishane hela za kula kununua vifurushi.
Kifurushi kikikata kama bajeti hairuhusu then uwe na access ya local free channel basi ili uchague taarifa ya habari uangalie wapi.
Sijawataja Wasafi hapo kwa sababu najua Wasafi ni channel ya kulipia, siyo free channel.