Nimekuwa mteja wa star times kwa muda sasa lakini wamechosha na wamekosa ubunifu. wamefikia hata kubadili chanels kwenye vifurushi bila kutoa taarifa. mwenye tetesi au taarifa za king'amuzi cha ITV na SAHARA anipatie.. Kama kuna watumiaji wa ZUKU naombeni kujua wana local channels ngapi na za sports ngapi?