King Mswati III in Dar...

Angalizo!!!! ficheni wake, mabinti na dada zenu
 
yuko tofauti kabisa na suti za akina bilali...

Hahaha...mkuu unataka kina Bilal na Membe wavae ile mishuka ya Kimaasai?

Lakini si unajua ile kitu huvaliwa pasipo chupi...sasa piga picha waheshimiwa wetu wasivae vinasa...

vinasa=chupi
 
Walishafikiria mapemaaa ndio maana hakuna hata mmoja aliyeenda na mkewe kwenye mapokezi....

Mkuu kwani Wake za Akina Bilal Bado ni Mabikira?

Coz mapigo yake ni kwa ma virgin..
 
Huyu MFARUME HUWA NA MUWEKA KWENYE LIST YA WATU WANAO FAIDI HII DUNIA


 
Watu waache utani ogopa mila, mfano kwetu kijijini kama huna wake zaidi ya sita kwenye mkutano wa kijiji huwezi kusimama kutoa hoja kwani huna uwezo! sasa humu watu wanalalama eti anadharirisha, kuna binti yoyote anayedai kalazimishwa? kwanza wanaona dili wanapopendwa. Kama nyie hampendwi acha wivu!
 
Hapo "mkulu" lazima aondoke na mtoto mkare kwenda nae ufalmeni , ila kwa atakayeleta shobo lazima akanyagwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…