ndo maana chama kimemwachia kila kitu mwenyewe!?si unaona!! Huyo hakuteuliwa na chama...kajiteuwa mwenyewe na familia sasa kama kinana anyasema haya, nani atabisha?
uwezo wakufikili mdogo, nilisikia mgombea mwngine wa ccm anasema eeeti watatoaje elimu bure wakati pesa za kampeni wanachangisha, nikaona uelewa wa wagombea ni mdogo sana anafikili chama ndo kinapesa ya kutoa elimu bure, ndomaana wanaweka mabango mengi waonekane wanapesa kibao!
uwezo wakufikili mdogo, nilisikia mgombea mwngine wa ccm anasema eeeti watatoaje elimu bure wakati pesa za kampeni wanachangisha, nikaona uelewa wa wagombea ni mdogo sana anafikili chama ndo kinapesa ya kutoa elimu bure, ndomaana wanaweka mabango mengi waonekane wanapesa kibao!
Namuona Dr hapa star tv mza huku Jk kakacha na kumsukumia jukumu la mdahalo Kinana. Hii ni dhahiri kuwa Jk anamgwaya Dr wa ukweli. Nawasilisha.
Wakati Kinana na Profesa Baregu walipokuwa wanaojiwa na BBC Kiswahili Service Kinana alitamka wazi kwamba Dr. Slaa size yake si Kikwete. Alitamka hayo pale Baregu alipomuambia KInana kwamba inabidi JK akutane ana kwa ana na wale walio saizi yake lakini KInana akasema kwamba Slaa si saizi ya Kikwete kv JK ni most experienced person in the field of leadership!! Hatimae, maneno ya Kinana yametimia kwamba size ya akina Slaa ni mtu kama KInana na sio JK!!!
jk presha ipo juu ss hivi, hawajui wafanye nn