The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Msisahau kwamba kituo anachofanyia kazi - Startv - ni cha kada wa CCM.
Huyu kinena vp? Eti shule zina walimu na vitabu, eti sasa mwalimu 1 kwa wanafunzi 54
Dr Slaa kamfunika vibaya huyu ndondocha wa CCM. Sijui bwana Kinena alipata kwanza mirungi kabla ya kuja hapo? Maana anabwabwaja tu bila umakini wowote.
Vote for Slaa, Kinena!