Elections 2010 Kinana na Dr Slaa - Live Star TV

Wana JamiiForum,
Kwaheshima kubwa sana,tunawaombeni mtuwekee YOUTUBE ya mahojiano kati ya Dr Slaa na Captain Kinana.
 
Kweli alitakiwa awepo JK maana kinana anayoongea hayana substance yoyote.
 
Muongozaji kipindi anamkatisha katisha sana dr slaa,tofauti na kinana ambaye anaachiwa muda mrefu sana aelezee ubwete wake..
 
Swali kutoka mpiga simu:
Kwanini mgombea wa upande wa pili hatumwoni, kwanini anajibiwa?
 
HAPA ALITAKIWA AWEPO LIPUMBA,KIKWETE,MZIRAY,MUHAGHYWA,HASHIMU RUNGWE siyo mumulete mgombea mmoja tuu! ILA NASHUKURU KWA KUWA WAMEMJENGA DR SLAA
 
"USHINDI SI LAZIMA",according to Kinana...Dalili ya kukubali kushindwa kwa CCM,Good for Democracy
 
inasikitisha sana kuwekwa only dr slaa na wagombea wengine wasiwekwe!
ivi wanaogopa nini?tunataka wagombea waongee sera zao na tuwahoji,
wengine nafasi za kwenda viwanjani hatuna.anyway tuchek iyo saa 5 uck

aibu sana
 
wanaoweza wamuangalie Dr Slaa na Kinana wakiwa Star TV live now.

Dr Slaa ni wa ukweli kiukweli jamani maan aamepambanua kila kitu! Kinana ameishia kuongelea nadharia tu. Ila nafurahi Kinana kakubali umuhimu wa kuwa na Baraza dogo la mawaziri
 
Mimi msimamo wangu ni tofauti kidogo,"you can not compare like with unlike"apple can not be compared with an orange.Although, altogather are fruits.This is unfair game.Mdahalo ulipaswa uwe kati ya Dr Slaa na Kikwete,because they are presidential candidates for CHADEMA and CCM respectively.

Kosa ni la CCM. Viongozi wa CCM kujificha ficha.
Lakini hata hivyo yaonekana Mgombea wa CCM siyo the best kutoka ktk chama chao ndo maana anakingwa ili asiseme utumbo.

Nawashauri wamuelimishe maana akiendelea kuwa Rais ni huyo huyo atakayesema mengi ya ajabu tena kwa niaba ya nchi. Naelewa tatizo alilonalo, hafundishiki, ni kama kuni mbichi -hauwaki.
 
Nadhani Kinana alitamani awe meneja wa Dr wa ukweli...wacha tusikilizie hiyo saa 5...
Tunawaomba StarTv wasiki-edit...
 
Back
Top Bottom