Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,366
- 6,492
Kinana amesema REDET kusema JK anaporomoka katika maoni ya wananchi ni 'fair' lakini ni sio 100% correct. Huyu jamaa simuelewi kabisa kwani anakubali na kukataa wakati huo huo, hivi ana uwezo kweli wa hali ya juu wa kufikiri?
Anasema ilibidi JK apate asilimia 80, mara 90 ambao ndio ushindi wao mwaka huu. Pia alisema kwenye majimbo ambayo wana uhakika kama Mvomero. Hivi huu uhakika wameutoa wapi, au tayari wana maboksi yenye kura zilizokwisha kupigwa? Au ndio tayari ile mbinu ya kuwaonga mawakala imekamilika? Au ndio mambo ya Shekh Yahya hayo?
Anasema ilibidi JK apate asilimia 80, mara 90 ambao ndio ushindi wao mwaka huu. Pia alisema kwenye majimbo ambayo wana uhakika kama Mvomero. Hivi huu uhakika wameutoa wapi, au tayari wana maboksi yenye kura zilizokwisha kupigwa? Au ndio tayari ile mbinu ya kuwaonga mawakala imekamilika? Au ndio mambo ya Shekh Yahya hayo?