Kinachoua bomu linapolipuka ni nini?

Kinachoua bomu linapolipuka ni nini?

Iron Lady

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2008
Posts
4,071
Reaction score
1,380
Wadau naomba kuelimishwa bomu linapolipuka nini haswa kinachoua watu je ni moto ni moshi ni mstuko ni mrusho au ni nini maana sielewi. Nipeni elimu ili nijue na ikitokea nijue najikinga vp
 
Vinavyoua bomu linapolipuka ni vitu vingi kulingana na aina yenyewe ya bomu.

# Mawimbi "Waves"
- Mawimbi yanaweza kukurusha sehemu yoyote ile mbaya nakukusababishia kifo. Au pia yakakuletea madhara ktk maskio.

# Moto
- i don't want to explain.

# Sauiti - Sauti inaweza kukusababishia presha na kuincrease rate of heart beat, ambayo inaweza kukusababishia kifo.

# Fragments Particles (neno lakiswahili silijui hapa)
- Hivi vinaweza kua vipande vya chuma ambavyo vitakuletea madhara vikikukuta mwilini mwako.

# Chemicals
- Chemical za kwenye bomu nazo zinaweza fanya kazi sambamba na miale yakukupa madhara ktk ngozi/macho n.k au nyingine zinaweza consume oxygen ya kaeneo ulipo nakukufanya ushindwe kupumua vizuri.

# Miale "Rays"
- Baadhi ya miale inawezakutoboa ata ngozi nakukuletea madhara makubwa.

# Gesi - inaweza kukua kulingana na aina ya gesi yenyewe mana nyingine zinareact na Haemoglobin ili kuzuia oxygen supply kwenye damu nakukusababishia kifo.

Na mabomu siku hizi yamekua advanced sana sio kama zamani

-kuna "Barrel bomb"

Mabomu ambayo ni kazi Rahisi na Bei ndogo kutengeneza ndani wanaweka chemicals na baadhi ya particles kama vile vipande vya chuma, nati(scrub), lakini haya haya mabomu yamekuwa advanced tena sio kama zamani, na yanatumiwa na Waasi kwasabu ni very cheap, Google inaniambia kwenye kama 200USD - 300USD.

Madhara yake ni kama haya

000_Nic6321291.jpg


-Kuna category ya mabomu yanayoitwa "Rocket Bombs" ambayo kuripuka ni mpaka yapewe initial velocity na kugonga sehemu fulani then yanaripuka, kwenye movie yanaonekana sana.


Picture-172.png


- Kuna Delay-Action Bombs.
Aina hii ya mabomu unaweza kuepuka kwa kukimbia kwasabu yanachukua sekunde kadhaa kuripuka, sizungumzii yale ya kwenye movie ambayo mtu anatega time count down, apana.
Aina hii ya mabomu kwamfano ukirushiwa kwenye nyumba yako, litachukua muda kidogo kama ni kupenetrate au ku initiate chemical reactions za ndani ambazo zinafanya Exothermic reaction (zinagive out heat) then linaripuka, nakutoka moto, gesi particles n.k.

violence-in-gaza.jpg


Solution kubwa yakuepuka bomu nikukimbia.
Na mabomu yapo ya aina nyingi sana duniani.

snipa
 
Last edited by a moderator:
Hii topic si nzuri sana kwa hizi nyakati. Mtatafutwa kwa kujifunza mbinu za kigaidi bure. wacha nikimbie...
 
Hii topic si nzuri sana kwa hizi nyakati. Mtatafutwa kwa kujifunza mbinu za kigaidi bure. wacha nikimbie...

Umenena vema sana.Ni hatari sana kulijadili hili swala katika nyakati hizi ambazo kuna vitisho vya mashambulizi ya kigaidi.Kufundisha watu aina za mabomu,yanavyotengenezwa na jinsi yanavyodhuru ni hatari sana kwani hata hujui aliyeuliza ni nani na ana lengo gani.Nashauri hizi taarifa alizotoa snipa zingefutwa.
 
mtu unajiita simba kisha unaogopa elimu nzuri kama hiyo kwani hapo kafundisha namna ya kutengeneza? au kaeleza aina za mabomu na njia rahisi za kuweza kujiokoa?
 
wadau naomba kuelimishwa bomu linapolipuka nini haswa kinachoua watu je ni moto ni moshi ni mstuko ni mrusho au ni nini maana sielewi. Nipeni elimu ili nijue na ikitokea nijue najikinga vp
al shabab wameahirisha kuja tanzania.so ishi kwa amani tuu mrembo!!!
 
​ni zile cheche zinazowaka zikikuingia machoni lazima ufe
 
Vipi kuhusu kuwahi kulala chini kifudifudi kabla ya mlipuko wa bomu, kunaweza vipi kupunguza madhara ya mlipuko wa bomu?
Tumeona mara nyingi kwenye movie lakini sayansi yake sijui inakuwaje hasa.
 
Inategemea na bomu lenyewe lilivyoundwa, kuna mabomu aina nyingi sana. Mengine hayauwi kabisa yana namana nyingine za matumizi huitwa "non lethal bombs".

Usishangae, Wamerekani walishataka (proposed) kutengeza bomb la ushoga, naam ushoga aka nsǝuƃǝ, likipigwa wanaume wanatamaniana wenyewe kwa wenyewe na wanashindwa kujizuwia. Sijui kama hawajalitengeza.

Chanzo: The U.S. Military's Proposed "Gay" Bomb
 
Vinavyoua bomu linapolipuka ni vitu vingi kulingana na aina yenyewe ya bomu.

# Mawimbi "Waves"
- Mawimbi yanaweza kukurusha sehemu yoyote ile mbaya nakukusababishia kifo. Au pia yakakuletea madhara ktk maskio.

# Moto
- i don't want to explain.

# Sauiti - Sauti inaweza kukusababishia presha na kuincrease rate of heart beat, ambayo inaweza kukusababishia kifo.

# Fragments Particles (neno lakiswahili silijui hapa)
- Hivi vinaweza kua vipande vya chuma ambavyo vitakuletea madhara vikikukuta mwilini mwako.

# Chemicals
- Chemical za kwenye bomu nazo zinaweza fanya kazi sambamba na miale yakukupa madhara ktk ngozi/macho n.k au nyingine zinaweza consume oxygen ya kaeneo ulipo nakukufanya ushindwe kupumua vizuri.

# Miale "Rays"
- Baadhi ya miale inawezakutoboa ata ngozi nakukuletea madhara makubwa.

# Gesi - inaweza kukua kulingana na aina ya gesi yenyewe mana nyingine zinareact na Haemoglobin ili kuzuia oxygen supply kwenye damu nakukusababishia kifo.

Na mabomu siku hizi yamekua advanced sana sio kama zamani

-kuna "Barrel bomb"

Mabomu ambayo ni kazi Rahisi na Bei ndogo kutengeneza ndani wanaweka chemicals na baadhi ya particles kama vile vipande vya chuma, nati(scrub), lakini haya haya mabomu yamekuwa advanced tena sio kama zamani, na yanatumiwa na Waasi kwasabu ni very cheap, Google inaniambia kwenye kama 200USD - 300USD.

Madhara yake ni kama haya

000_Nic6321291.jpg


-Kuna category ya mabomu yanayoitwa "Rocket Bombs" ambayo kuripuka ni mpaka yapewe initial velocity na kugonga sehemu fulani then yanaripuka, kwenye movie yanaonekana sana.


Picture-172.png


- Kuna Delay-Action Bombs.
Aina hii ya mabomu unaweza kuepuka kwa kukimbia kwasabu yanachukua sekunde kadhaa kuripuka, sizungumzii yale ya kwenye movie ambayo mtu anatega time count down, apana.
Aina hii ya mabomu kwamfano ukirushiwa kwenye nyumba yako, litachukua muda kidogo kama ni kupenetrate au ku initiate chemical reactions za ndani ambazo zinafanya Exothermic reaction (zinagive out heat) then linaripuka, nakutoka moto, gesi particles n.k.

violence-in-gaza.jpg


Solution kubwa yakuepuka bomu nikukimbia.
Na mabomu yapo ya aina nyingi sana duniani.
snipa

Snipq you killed it man but watch out people might fvck around and offer yu a job as an assassin :screwy:
 
Last edited by a moderator:
Vinavyoua bomu linapolipuka ni vitu vingi kulingana na aina yenyewe ya bomu.

# Mawimbi "Waves"
- Mawimbi yanaweza kukurusha sehemu yoyote ile mbaya nakukusababishia kifo. Au pia yakakuletea madhara ktk maskio.

# Moto
- i don't want to explain.

# Sauiti - Sauti inaweza kukusababishia presha na kuincrease rate of heart beat, ambayo inaweza kukusababishia kifo.

# Fragments Particles (neno lakiswahili silijui hapa)
- Hivi vinaweza kua vipande vya chuma ambavyo vitakuletea madhara vikikukuta mwilini mwako.

# Chemicals
- Chemical za kwenye bomu nazo zinaweza fanya kazi sambamba na miale yakukupa madhara ktk ngozi/macho n.k au nyingine zinaweza consume oxygen ya kaeneo ulipo nakukufanya ushindwe kupumua vizuri.

# Miale "Rays"
- Baadhi ya miale inawezakutoboa ata ngozi nakukuletea madhara makubwa.

# Gesi - inaweza kukua kulingana na aina ya gesi yenyewe mana nyingine zinareact na Haemoglobin ili kuzuia oxygen supply kwenye damu nakukusababishia kifo.

Na mabomu siku hizi yamekua advanced sana sio kama zamani

-kuna "Barrel bomb"

Mabomu ambayo ni kazi Rahisi na Bei ndogo kutengeneza ndani wanaweka chemicals na baadhi ya particles kama vile vipande vya chuma, nati(scrub), lakini haya haya mabomu yamekuwa advanced tena sio kama zamani, na yanatumiwa na Waasi kwasabu ni very cheap, Google inaniambia kwenye kama 200USD - 300USD.

Madhara yake ni kama haya

000_Nic6321291.jpg


-Kuna category ya mabomu yanayoitwa "Rocket Bombs" ambayo kuripuka ni mpaka yapewe initial velocity na kugonga sehemu fulani then yanaripuka, kwenye movie yanaonekana sana.


Picture-172.png


- Kuna Delay-Action Bombs.
Aina hii ya mabomu unaweza kuepuka kwa kukimbia kwasabu yanachukua sekunde kadhaa kuripuka, sizungumzii yale ya kwenye movie ambayo mtu anatega time count down, apana.
Aina hii ya mabomu kwamfano ukirushiwa kwenye nyumba yako, litachukua muda kidogo kama ni kupenetrate au ku initiate chemical reactions za ndani ambazo zinafanya Exothermic reaction (zinagive out heat) then linaripuka, nakutoka moto, gesi particles n.k.

violence-in-gaza.jpg


Solution kubwa yakuepuka bomu nikukimbia.
Na mabomu yapo ya aina nyingi sana duniani.

snipa
asante sana kiongozi kwa somo zuri ila solution ya kukimbia ni kwa kila bomu au kwa aina ya bomu?
 
Vipi kuhusu kuwahi kulala chini kifudifudi kabla ya mlipuko wa bomu, kunaweza vipi kupunguza madhara ya mlipuko wa bomu?
Tumeona mara nyingi kwenye movie lakini sayansi yake sijui inakuwaje hasa.

Tu apply knowledge ya projectile mkuu !

projectile-motion1.jpg


assume hapo kwenye starting point ndipo lilipotua bomu "nazungumzia mabomu ambayo most of the time yanatoa fragment particles" ambazo ndo hizo zinazofuata parabola trajectory,

bomu likiisha ripuka particles zake hiziwezi kwenda horizontally side way lazma nyingi zifuate projectile siquense,
sasa kama wewe uli lala hapo katikati ya mstari wa horizontal range, particles zilizolipuka kukuta inakua ni ngumu kidogo, kwahiyo utakua umepunguza madhara.

N:B inategemeana na bomu, usishangae ardhi ya chini imekuja juu na ya juu imeenda chini nakukuzika wewe uliyelala.

snipa
 
Last edited by a moderator:
asante sana kiongozi kwa somo zuri ila solution ya kukimbia ni kwa kila bomu au kwa aina ya bomu?


Hakuna bomu utakaloshauriwa kusimama, ata kama inaeleweka kukimbia kwako hakutakuepusha kwenye danger zone "yaani eneo ambalo bomu litaleta madhara".

Japokuwa ikitokea hali kama hii Andrenaline (hormone inayocontrol matukio ya ghafla) ikiweza kukucontrol basi itakutuma tu kukimbia.

snipa
 
Last edited by a moderator:
FaizaFoxy
Kwani mtume aliagiza watu wauliwe kwa mabomu?

Ni hadaa gani kwenye dini hutumika hadi kuwashawishi watu waweze kujitoa muhanga
 
Last edited by a moderator:
hahaaa 😀 ain't gonna f ck with it, i've been taught to be a good man in this f cken earth....

Du!!Bosi aise haka kaelimu kazuri...sasa inakuaje na risasi?au mfumo ni huo huo..mara nyingi ganda la risasi linabaki kwa mpigaji..alafu ukichumchunguza aliyepigwa risasi utaona katundu kamduara kadogo,aidha linapotokea ni pana...ebu lete maneno mkuu...
 
Mkuu, si kweli kabisa hii graph yako. Mwanzo wengi walidhani hivyo na Napoleon wa Ufaransa ambaye alikwua Askari wa Mizinga, alitaka kujua jinsi ya kujua projectile yake. Kila alipoitisha mashindano ya atakayeweza kutoa formula ya projectile, mara zote alishinda Mama wa Kifaransa aitwaye Sophie Germain na formula yake ya ajabu ambayo hadi leo inatumika kwenye kudesign vitu mbalimbali kuanzia Engine za magari hadi majengo. Tatizo ni kuwa wakati ule, Mwanamke alikuwa hana heshima kama Mwana Sayansi/binadamu.


fb1551e783d1e665cc632702b6eef1b6.png


Hiyo graph yako haiwezi kuwa kweli kwa sababu ndogo sana, bomu linapoanguka, gravity force inaanza kufanya kazi na hivyo kulilazimisha lianguke haraka kuliko wakati linapaa mara baada ya kurushwa.

Kama unajua hiyo Equation jinsi ya kuitumia, basi wewe lazima uwe tajiri dunia hii. Utatumia nguvu kidogo sana kufanya designing ya vitu vingi mno duniani.

Tu apply knowledge ya projectile mkuu !

projectile-motion1.jpg


assume hapo kwenye starting point ndipo lilipotua bomu "nazungumzia mabomu ambayo most of the time yanatoa fragment particles" ambazo ndo hizo zinazofuata parabola trajectory,

bomu likiisha ripuka particles zake hiziwezi kwenda horizontally side way lazma nyingi zifuate projectile siquense,
sasa kama wewe uli lala hapo katikati ya mstari wa horizontal range, particles zilizolipuka kukuta inakua ni ngumu kidogo, kwahiyo utakua umepunguza madhara.

N:B inategemeana na bomu, usishangae ardhi ya chini imekuja juu na ya juu imeenda chini nakukuzika wewe uliyelala.

snipa
 
Mie nataka LIPIGWE nione unavyorukiwa na akina Mama wenzako, hasa wale NINJA.

Inategemea na bomu lenyewe lilivyoundwa, kuna mabomu aina nyingi sana. Mengine hayauwi kabisa yana namana nyingine za matumizi huitwa "non lethal bombs".

Usishangae, Wamerekani walishataka (proposed) kutengeza bomb la ushoga, naam ushoga aka nsǝuƃǝ, likipigwa wanaume wanatamaniana wenyewe kwa wenyewe na wanashindwa kujizuwia. Sijui kama hawajalitengeza.

Chanzo: The U.S. Military's Proposed "Gay" Bomb
 
Kulala chini kunatumika kwenye mabomu ya mkono (hand granade) na labda Land Mine maana mabomu hayo, hunyenyuka juu kama mota moja na kulipuka. Sasa basi ukilala chini, mara nyingi unakuwa chini ya mita moja. Ila kama limelipuka kwenye kibonde kidogo, basi hata ukilala chini haisaidii kwani unakuwa tayari upo kwenye usawa au juu zaidi ya mita mota.

Ila Land Mine ukishalikanyaga, basi ujuwe Mguu wako umekwenda na maji.
Hand Granade kama likitupwa na ukaamua kuokoa familia yako, basi dawa ni kulirukia na linauwa mtu mmoja tu. Mara nyingi hayana nguvu ya kummaliza mtu na kuendelea kufanya madhara zaidi.

Vipi kuhusu kuwahi kulala chini kifudifudi kabla ya mlipuko wa bomu, kunaweza vipi kupunguza madhara ya mlipuko wa bomu?
Tumeona mara nyingi kwenye movie lakini sayansi yake sijui inakuwaje hasa.
 
Back
Top Bottom