Wanayomeza au kuvaa nayo pia yamegawanyika !
Delay action !
Yaani ni yanayoripuka ndani ya sekunde kadhaa, au ambayo ni non delay action yanayoripuka tu mtu akibonyeza switch/kulishtua kwa namna yeyote ile.
huo ni mfano wa bomu linalotumia time count down.
Ndugu zetu huwa wanatumia aina zote hizi za mabomu yaani ambayo hayana time elapse na yenye time elapse count down, ambayo mara nyingi wanayatengeza kienyeji, ata wewe unaweza tengeneza kwani unaweza kununua explosive materials kwa bei ya kawaida tu inategemeana na hizo material ni za Pressure gas, au chemical ya aina yeyote ile kulingana na time of reaction na uwezo wenyewe waku expand, kwamfano chemical mara nyingi wanauza kwa kilo, "Kg" unaeza uziwa dola 110/kg kulingana na aina yenyewe, ila kutengeneza yaani kuliunda utahudumia mwenyewe.
Hizi ni explosive material ambazo ukiskia mtu kakutwa na vifaa vya miripuko, hua kama hivi baadhi
Na inategemeana, kama litakua ni la count down itabidi mtu ahitaji digital stop watch/local kama ya kwenye picha hii, betri lakuendesha system nzima... Na Explosive substance yenyewe, Ndugu zetu hawa wanatengeza mabomu locally sana.
Na pia yapo ambayo ni modern tena yanakuwa controlled kwakutumia signals, yaani mtu anaweza lipua bomu akiwa mbali na bomu lenyewe kwakutumia external switch ambayo kama itakua ni simu, saa n.k... Haya yanatumika sana kwenye mission za kijeshi, ila hawa ndugu zetu hawajali maisha yao, so wanatumia tu yakienyeji.
Kwenye kuweka tumboni, nazani wanatumia njia ya upasuaji, sio kumeza tu mdomoni.