huruma nkuwi
Member
- Mar 21, 2015
- 10
- 4
al shabab wameahirisha kuja tanzania.so ishi kwa amani tuu mrembo!!!
hahahaa
al shabab wameahirisha kuja tanzania.so ishi kwa amani tuu mrembo!!!
Wadau naomba kuelimishwa bomu linapolipuka nini haswa kinachoua watu je ni moto ni moshi ni mstuko ni mrusho au ni nini maana sielewi. Nipeni elimu ili nijue na ikitokea nijue najikinga vp
Mkuu, si kweli kabisa hii graph yako. Mwanzo wengi walidhani hivyo na Napoleon wa Ufaransa ambaye alikwua Askari wa Mizinga, alitaka kujua jinsi ya kujua projectile yake. Kila alipoitisha mashindano ya atakayeweza kutoa formula ya projectile, mara zote alishinda Mama wa Kifaransa aitwaye Sophie Germain na formula yake ya ajabu ambayo hadi leo inatumika kwenye kudesign vitu mbalimbali kuanzia Engine za magari hadi majengo. Tatizo ni kuwa wakati ule, Mwanamke alikuwa hana heshima kama Mwana Sayansi/binadamu.
![]()
Hiyo graph yako haiwezi kuwa kweli kwa sababu ndogo sana, bomu linapoanguka, gravity force inaanza kufanya kazi na hivyo kulilazimisha lianguke haraka kuliko wakati linapaa mara baada ya kurushwa.
Kama unajua hiyo Equation jinsi ya kuitumia, basi wewe lazima uwe tajiri dunia hii. Utatumia nguvu kidogo sana kufanya designing ya vitu vingi mno duniani.
Du!!Bosi aise haka kaelimu kazuri...sasa inakuaje na risasi?au mfumo ni huo huo..mara nyingi ganda la risasi linabaki kwa mpigaji..
alafu ukichumchunguza aliyepigwa risasi utaona katundu kamduara kadogo,aidha linapotokea ni pana...ebu lete maneno mkuu...
Wadau naomba kuelimishwa bomu linapolipuka nini haswa kinachoua watu je ni moto ni moshi ni mstuko ni mrusho au ni nini maana sielewi. Nipeni elimu ili nijue na ikitokea nijue najikinga vp
FaizaFoxy
Kwani mtume aliagiza watu wauliwe kwa mabomu?
Ni hadaa gani kwenye dini hutumika hadi kuwashawishi watu waweze kujitoa muhanga
Inategemea na bomu lenyewe lilivyoundwa, kuna mabomu aina nyingi sana. Mengine hayauwi kabisa yana namana nyingine za matumizi huitwa "non lethal bombs".
Usishangae, Wamerekani walishataka (proposed) kutengeza bomb la ushoga, naam ushoga aka nsǝuƃǝ, likipigwa wanaume wanatamaniana wenyewe kwa wenyewe na wanashindwa kujizuwia. Sijui kama hawajalitengeza.
Chanzo: The U.S. Military's Proposed "Gay" Bomb
hahaaa 😀 ain't gonna f ck with it, i've been taught to be a good man in this f cken earth....
Haha but we all humans good or bad . .
Am not a human being.... Am a hero !
Mie nataka LIPIGWE nione unavyorukiwa na akina Mama wenzako, hasa wale NINJA.
Hiyo chuki yako kwa Waislam ni bure tu.
Ni kujidanganya tu. Ukweli unajulikana. Unless uwe ni mwehu.
"wale Ninja" wamekukosea nini? au inakunyima raha unapokosa kuwaona miili yao?
Civilization ya mwanaadam ilianza kwa kujuwa kujistiri na si kwa kutembea uchi. Sasa fikiri, dada zako na mama zako wanaotembea nusu uchi na "wale NINJA" ni nani yupo "civilized"?
1 Wakorintho 11
4 Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa. 5 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Manawatembeza vichwa kutwa kucha, si kanisani si mbarabarani. Sasa tunaona badala ya kuwakata nywele mnawabandika za maiti wa India. Kinyume kabisa mafundisho yenu.
Sisi tunaojifunika tunafata Qur'an yetu, pale waliposhindwa mama zenu na dada zenu kufata kitabu chenu, kinawauma nini?:
Tell your wives and your daughters and the women of the believers to draw their cloaks (veils) all over their bodies That will be better, that they should be known (as free respectable women) so as not to be annoyed (molested or insulted)... (Quran 33:59)
Kwa skuiz uvaaji mbovu hauna dini asee kwanzia Wakristo Waslam mpaka wasio na dini wote mulemule so mtu asitetee kwa kua yeye ni upande flan nakati mtaani hawa wadada tunawaona na tunajua vizuri ....
Hiyo chuki yako kwa Waislam ni bure tu.
Ni kujidanganya tu. Ukweli unajulikana. Unless uwe ni mwehu.
"wale Ninja" wamekukosea nini? au inakunyima raha unapokosa kuwaona miili yao?
Civilization ya mwanaadam ilianza kwa kujuwa kujistiri na si kwa kutembea uchi. Sasa fikiri, dada zako na mama zako wanaotembea nusu uchi na "wale NINJA" ni nani yupo "civilized"?
1 Wakorintho 11
4 Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa. 5 Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Manawatembeza vichwa kutwa kucha, si kanisani si mbarabarani. Sasa tunaona badala ya kuwakata nywele mnawabandika za maiti wa India. Kinyume kabisa mafundisho yenu.
Sisi tunaojifunika tunafata Qur'an yetu, pale waliposhindwa mama zenu na dada zenu kufata kitabu chenu, kinawauma nini?:
Tell your wives and your daughters and the women of the believers to draw their cloaks (veils) all over their bodies That will be better, that they should be known (as free respectable women) so as not to be annoyed (molested or insulted)... (Quran 33:59)
Kuna demu huwa namsaulaga hijab. Kwa hiyo tuamini kwamba kuvaa hijab ni utakatifu?
= namsaula
Kwanza hilo neno utakatifu halipo kwenye Uislam, hiyo ni terminology ya kikanisa tena katoliki. Waislam amma tuna "mcha Mungu" au hatuna.