Kinachoendelea Syria, Mungu haoni?

Kinachoendelea Syria, Mungu haoni?

Kwann Mungu haoni??.

Dameski =Damascus=Syria.

Sasa Ukijipa Muda wa kusoma Biblia mambo haya wala hayatakua yakushangaza nikwann yanatokea ...

Mungu mwenyewe amesema haya
74286bc867b09a1a27fc48ac53147483.jpg
2072257ef06371637db2ac78fde1f76b.jpg
Kipi kitabu chasema ukweli
tapatalk_1519433265999.jpeg
 
Swali langu ni je Mungu amependa hayo yatokee?kama hakupenda kwa nini hakiyazuia kabla hayajatokea?
Shetani awe kati, maan mambo yote ni tamaa ya mwanadamu ili shawishiwa na SHETANI halafu Mungu mumlazimishe aingie kwa lazima.
 
Nimesoma huu uzi na comments zake hakika machozi yamenitoka. Niseme tu Mungu nakuomba uwasaidie hawa watoto wanaoteseka bila hatia. Wewe ni Mkuu sana, hakuna linaloshindikana kwako
 
Nimesoma huu uzi na comments zake hakika machozi yamenitoka. Niseme tu Mungu nakuomba uwasaidie hawa watoto wanaoteseka bila hatia. Wewe ni Mkuu sana, hakuna linaloshindikana kwako
Hakika inahuzunisha sana
Yan mm mwenyewe mpaka
Nmeona kulia hao watoto wanvotia
Huruma yan

Eeeeh Mwenyez Mungu
Shusha mkono wako Kwa hao watoto
Uwaondolee hayo mateso
 
Kwann Mungu haoni??.

Dameski =Damascus=Syria.

Sasa Ukijipa Muda wa kusoma Biblia mambo haya wala hayatakua yakushangaza nikwann yanatokea ...

Mungu mwenyewe amesema haya
74286bc867b09a1a27fc48ac53147483.jpg
2072257ef06371637db2ac78fde1f76b.jpg
Naomba kifungu au mstari wa hii hoja yako kwenye bible mkuu!! Nikasome zaidi...
 
Waislam wa Tanzania mnakua na matatizo sana...yani mwarabu akipata shida mnajifanya mna huruma sana yani roho inawauma sana....

Israel akimchapa Palestine mnajifanya kuandamana...

Wakati dada zenu wakienda Arabuni kua mabeki 3 wanateswa na kutupwa magorofani ...hamuongei
Waaarabu hawawapendi nyie ngozi nyeusi acheni shobo, Please!.

Halafu kama ingekua roho inauma kweli kama binadamu nadhani ungeanzia Sudan Kusini hapo kwa Wabantu wenzio wanateseka zaidi ya Syria au kisa sio kizazi cha Mtume S.A.W?..
 
Swali langu ni je Mungu amependa hayo yatokee?kama hakupenda kwa nini hakiyazuia kabla hayajatokea?
Kuna mambo yanatokea km laana,
Kuna mambo yanatokea km mapigo kwa jambo Fulani,
Kuna mambo yanatokea km dhuruma na kuna mambo yanatokea sababu ya asili,
Wapo watu Leo hii wanavuna baraka za matendo ya babu zao,na wapo watu Leo hii wanavuna mapigo kwa matendo ya babu zao,
Ndo maana hata hii tekateka,mwaga mwaga damu za watu wasio hatia hapa Tze usishangae wakavuna mapigo wajukuu zetu kwa kosa la mtu mmoja dhalimu
 
Waislam wa Tanzania mnakua na matatizo sana...yani mwarabu akipata shida mnajifanya mna huruma sana yani roho inawauma sana....

Wakati dada zenu wakienda Arabuni kua mabeki 3 wanateswa na kutupwa magorofani ...hamuongei
Waaarabu hawawapendi nyie ngozi nyeusi acheni shobo.

Halafu kama ungemua roho inauma kweli kama binadamu nadhani ungeanzia Sudan Kusini hapo kwa Wabantu wenzio wanateseka zaidi ya Syria au kisa sio kizazi cha Mtume S.A.W?..
Mimi nilikuwa naomba tu.

Uwe Muslim au mkristo au usiye na dini upate kusoma kitabu cha Sina-ex Muslim ambaye Sasa anaishi uhamishoni Canada japo kazaliwa Iran.

Understanding Mohammed by sina.


Ningependa watu wakisome sana kitabu hicho kaelezea Mambo juu ya Muslims na katoa mapendekezo yake...utapata kuwahafamu vyema Muslims na Mambo lukuki kuhusu wao.
 
Kuna mambo yanatokea km laana,
Kuna mambo yanatokea km mapigo kwa jambo Fulani,
Kuna mambo yanatokea km dhuruma na kuna mambo yanatokea sababu ya asili,
Wapo watu Leo hii wanavuna baraka za matendo ya babu zao,na wapo watu Leo hii wanavuna mapigo kwa matendo ya babu zao,
Ndo maana hata hii tekateka,mwaga mwaga damu za watu wasio hatia hapa Tze usishangae wakavuna mapigo wajukuu zetu kwa kosa la mtu mmoja dhalimu
Tuekane sawa nini maana ya laana?
Anaefanya hivyo ndio huyu Mungu mwenye huruma na upendo?
 
Back
Top Bottom