Kinachoendelea Syria, Mungu haoni?

Kinachoendelea Syria, Mungu haoni?

Kwann Mungu haoni??.

Dameski =Damascus=Syria.

Sasa Ukijipa Muda wa kusoma Biblia mambo haya wala hayatakua yakushangaza nikwann yanatokea ...

Mungu mwenyewe amesema haya
74286bc867b09a1a27fc48ac53147483.jpg
2072257ef06371637db2ac78fde1f76b.jpg
Hii ipo kwenye kitabu gani nikaipitie
 
ni kweli mkuu, najaribu kuwaza tu, yawezekana kuwa mfalme hakua miongoni mwao waandishi-ndio maana akaanzisha kampeni hyo, lakini kwa kuwa kuna 'kundi la watu' wenye nguvu na hodhi ya mamlaka, ndio maana ikasurvive. Najaribu kuwaza tu. Ni vipi huyu Mungu awe muangamizaji kiasi hiki, na hata yote haya yatokeayo damascus yawe yote ameyatabiri(au kuyapanga kwa lugha nyingine).
Mkuu nipo na kaubize fulani ,ndomaana nachelewa kujibu.


Ila nikuhakikishe kua , haya mambo nimepesi na yako wazi kuyajua , ngoja siku moja nikiwa namuda, nitaandika baadhi ya maandishi kuhusiana na hizi mambo na ukanda huu wa afrika mashariki eneo ambalo linatajwa kua na ardhi bora ya kilimo ,mali asili nyingibn.k.

Ila kuyaelewa nisharit uwe umeamua kuyaelewa ,naukitoa muda wako kuyalinganisha na uhalisia wamambo yanavyoendelea ...utajikuta unatabasamu na kusema "" ooohhh kumbe""
 
ni kweli mkuu, najaribu kuwaza tu, yawezekana kuwa mfalme hakua miongoni mwao waandishi-ndio maana akaanzisha kampeni hyo, lakini kwa kuwa kuna 'kundi la watu' wenye nguvu na hodhi ya mamlaka, ndio maana ikasurvive. Najaribu kuwaza tu. Ni vipi huyu Mungu awe muangamizaji kiasi hiki, na hata yote haya yatokeayo damascus yawe yote ameyatabiri(au kuyapanga kwa lugha nyingine).
Kwaufupi nikwamba hamna jipya chininyajua ,yanayoyokea yameandikwa nahayatobadilika zaidi yakutokea moja baada yajingine.

Je unakumbuka habar ya Jua kuleta joto kuwaunguza watu mpaka kufa uko china uingereza n.k ???

Sasa yote haya yameandikwa , kinachofanywa watu wasiyajue ninamna yanavyokuja ..... Yanakuja kupitia wanadamu wenyewe .
 
Inasikitisha sana aisee Mungu awaepushie mabalaa
 
Mesha sema kwamba, watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa
 
Unataka Mungu azuie mabomu yasiripuke au? Ukiwa na akili mbovu utavuna mabovu mpaka siku ya mwisho TRUMP AMETUSEMA KUWA AFRIKA NA UARABUNI NI RACE FROM SHITHOLES HAKUKOSEA
 
Mungu hayupo.

Kama yupo haingilii maisha ya kila siku ya watu. Kwamba baada ya kuumba kanuni za kuongoza Ulimwengu, alijitenga na kuacha Dunia ijiendeshe yenyewe.

Haya mambo mengine ni kupeana moyo tu.
Mkuu ukingali unapumua vizuri hela ya kula unapata wasiwasi na maisha huna ni haki yako kuandika uliyoandika hapa but siku inakuja utatamani uandike japo herufi moja kuyakanusha haya na hutopata chance.heri nusu shari kuliko shari kamili,sikutishi najaribu kukukumbusha kama binadam mwenzangu.
 
Nimejiuliza hili swali asubuhi ya leo
Tunaambiwa na vitabu vya dini kwamba Mungu ni muweza wa yote,yeye hujua kitu kabla hata hakijatokea
Kauli hii inamaanisha kila kinachotokea huwa kina "approval" ya Mungu

Je Mungu ame "approve" machafuko ya Syria?
Kama haku "approve" kwa nini yametokea?
Mungu haoni kama kuna watoto wanateseka pale,mpaka aombwe?kwa nini anayaacha yaendelee?

Labda wanaosambaza kampeni ya Pray for syria mnaweza jibu maswali haya

efca20899c0db0889095f0a75be81344.jpg


d2e99bb857fb05f6b4162deede380592.jpg
d452e70ca663278839557cd905f0adb6.jpg
 
Mkuu ukingali unapumua vizuri hela ya kula unapata wasiwasi na maisha huna ni haki yako kuandika uliyoandika hapa but siku inakuja utatamani uandike japo herufi moja kuyakanusha haya na hutopata chance.heri nusu shari kuliko shari kamili,sikutishi najaribu kukukumbusha kama binadam mwenzangu.
Mkuu hata ukinitisha wala sitatishika, utakua unafanya kazi bure, nina uhakika Mungu hayupo na kama yupo basi baada ya kuumba ulimwengu na kanuni zake aliutelekeza ujiendeshe wenyewe, akajitoa kwenye kuingilia maisha ya watu moja kwa moja.

Hakuna Mungu, hakuna kitu kama hicho.
 
Hivi walimu hawataki wanafunzi wao wafaulu? Ukinijibu kuwa wanataka wafaulu, basi naomba unambia kwanini wanwapa mitihani wanafunzi na wasiwape vyeti tu?
Mungu hakujui nini hadi akupe mtihani Tatizo kubwa linalo wasibu ni
05-proverbs-1-7.png
 
Nimeangalia hizi picha roho imeniuma sana hawa watoto masikini hawana kosa lolote cha ajabu watu wanajifanya kutetea sijw upande A au B hivi natamani nimchukue hata mmoja niishi nae. Poleni sana watoto wazuri hamkustahili mateso hayo
 
Physical realm,ni ya wanadamu,Mungu yupo spiritual realm,hawezi kutenda kitu kwenye physical bila sisi kutaka,au kuamua kumshirikisha,
Tukitaka mazuri yatokee hapa duniani,kwenye ulimwengu unaoonekana,physical realm,lazima tumshirikishe Mungu,bila hivyo hatatenda kitu,
"Without GOD we can not,Without us GOD will not"
Yanayotendeka Syria,Somalia,Yemen,Yana mchango wa binadamu,Tukitegemea miujiza kutoka juu,ije isitishe hayo majanga,tutasubiri sana,those miracles will not come,
Kama kikundi tu kama ISIS,kisicho na serikali kimeutetemesha ulimwengu kwa miaka kadhaa,je nchi za ki Arab zikiungana,zikaunda jeshi,zikakusanya rasilimali,wananchi wote Syria,Yemen,Somalia,wangeepuka majanga yote yanayowapata mpaka sasa hv
Tatizo hao hao wanao pinga ugaidi ndio hao hao wanaowawezesha
 
Nimeangalia hizi picha roho imeniuma sana hawa watoto masikini hawana kosa lolote cha ajabu watu wanajifanya kutetea sijw upande A au B hivi natamani nimchukue hata mmoja niishi nae. Poleni sana watoto wazuri hamkustahili mateso hayo
255718234513_status_ffa8ea2a8858b2c8f1344e5628061f1b.jpg
 
Back
Top Bottom