Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,775
- 145,564
Hata ungejaribu kusoma, huji kusoma.Hata kusoma sijasoma...unajichanganya Mwenyewe na kadi za Kliniki huku hujui kwamba hujui..
Hata ungejaribu kusoma, huji kusoma.Hata kusoma sijasoma...unajichanganya Mwenyewe na kadi za Kliniki huku hujui kwamba hujui..
Kama kweli nina zero brain, hilo nalo linazidi kuthibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Wewe unaandika maandiko mbona sioni uchafu zero brain![]()
![]()
Sina sababu ya kupitia najisi...Hata ungejaribu kusoma, huji kusoma.
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, ulimwengu aliouumba usingekuwa na najisi na wala mtu yeyote asingeona chochote najisi.Sina sababu ya kupitia najisi...
Baada ya hio miaka elfu moja ni kitafuata???Umepotea sana, tena rudi haraka utubu kabla haujaangamia. Kwani Mungu hakuweko wakati sodoma na gomala wanaangamia kwa moto? Kwani watoto hawakuweko siku ile? Au mmewaona watoto wa Syria tu!! Mungu hakuweko wakati dunia inaangamia kwa maji wakati wa Nuhu, watoto hawakuweko? Mungu hakuweko wakati Mfalme Herode ameamua wauliwe watoto wote wa kiume kuanzia miaka miwili kushuka chini? Hamkusikia kilio kile kikuu ambacho hakitakuja kutokea duniani tena, hawakuwa watoto wale? Msimuingize Mungu kwenye mambo yenu ya dunia hii, Mungu sio wa duniani ni wa mbinguni tu. Tamaa zenu za kuimiliki dunia na fahari zake ndio zinawatia upofu? Ni heri hao watoto wasiozidi miaka mitano na wafe, maana ufalme wa mbinguni ni wao. Watakuja kutawala na kristo ile miaka 1000 ambayo kutakuwa hakuna kifo, Ila watu wataoa na kuolewa. Jiteteni nyie mliojivika uoga wa kutokuongea ukweli ili muendelea kuifurahia dunia. Biblia inasema bado kitambo kidogo tu, kabla dunia haijatwaliwa. Msijiongopee baada ya kifo ni hukumu, hakuna kesi kule. Mungu kama itakupendeza na mapenzi yako yatimizwe, uwaondoe wote wanaosababisha mateso kwa watu wako. Amina.
IMEMPENDEZA Mwenyewe anae jua Mema na mabaya ktk Uumbaji wake! wewe unahoji ni Mwenyewe??¿ mbona wewe unavaa kata k, sababu imekupendeza! Sina Haki ya kuhoji sababu Mimi sio wewe!¡Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, ulimwengu aliouumba usingekuwa na najisi na wala mtu yeyote asingeona chochote najisi.
Wewe kuona kitu ni najisi ni ushahidi kwamba Mungu huyo hayupo.
Mbona nimeelezea kwa ufupi pia,Elezea hapa mkuu kidogo,fupisha tu.
Unakufuru broMungu haoni. Kwa sababu hayupo.
Kama kuna Mungu na kukufuru, kusema mtu anayetumia akili zake (ambazo kama Mungu yupo na kamuumba, amepewa na Mungu) kuweza kumjua kwa ukweli, bila woga wala kufuata mkumbo huyo Mungu, ni kukufuru, ndiyo kutakuwa kukufuru.Unakufuru bro
Let them cry their own cry and u cry ur own cry. U have Alshaabab.Nimejiuliza hili swali asubuhi ya leo
Tunaambiwa na vitabu vya dini kwamba Mungu ni muweza wa yote,yeye hujua kitu kabla hata hakijatokea
Kauli hii inamaanisha kila kinachotokea huwa kina "approval" ya Mungu
Je Mungu ame "approve" machafuko ya Syria?
Kama haku "approve" kwa nini yametokea?
Mungu haoni kama kuna watoto wanateseka pale,mpaka aombwe?kwa nini anayaacha yaendelee?
Labda wanaosambaza kampeni ya Pray for syria mnaweza jibu maswali haya
![]()
![]()
View attachment 714688 View attachment 714687 View attachment 714686
Dini ya wazungu inatutesa waafrikaUmepotea ww