Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Status
Not open for further replies.
Chadema mkishindwa kumfukuza zitto hamfai kuwa kuaminiwa kupewa dola kama mtaendelea kuoneana haya kama ccm, lazima muwe na maamuzi yasiyotetereshwa na mashinikizo ya kijinga kama haya. hizo picha atakuwa kazitengeneza zitto mwenyewe hii ni usanii vinginevyo aliyetengeneza flayaz hizo ajitokeze na aseme ametengenezea wapi na anafaidika vipi na shughuli hii.
 
Ameona alichokifanya Serena kukashifu viongozi haitoshi bali sasa ni kuandaliwa mkutano na CCM kukashifu viongozi na chama
I can predict in the near future Zitto ataanza kuzunguka nchi nzima kwa ufadhili wa CCM kutukana viongozi kama walivyofanya kina Mwampamba na Shonza.
 
Mnachelewa sana kumfukuza.

Hivi unajua Zitto amefanya mangapi na Mbowe? Unajua kama Zitto anajua vitu vingi vizuri na vibaya juu ya Mbowe? Kiasi kwamba kama akiamua kuyasema yote kwa ushahidi alionao basi Mbowe siasa basi!!

So kwa mantiki hiyo, Zitto hatakaa afukuzwe kwenye chama, labda kama Mbowe sio Mwenyekiti, ila kama Mbowe ni Mwenyekiti Zitto ni mwanachama.

"A learned fool is more a fool than an ignorant fool"
 
Wastage of time,tumeshawasikia CDM wanachosema juu ya zito,na tumesikia Zito anachosema juu ya CDM.wote wanatakiwa wabadilike,asiyeweza kufanya kazi na wenzie asipoteze muda wetu kujadili stori zake.shujaa gani anaenda kujenga chama peke yake kila siku?wenzie wanapigwa mabomu,wanaumizwa yeye anasubiri kugombea vyeo kila kona.oparesheni za chama haonekani,vikao hahudhurii,ccm ndio marafiki zake wakubwa.halafu anataka apewe UENYEKITI na AGOMBEE URAIS.Huyo ndio shujaa??Hizi ni tamaa,cdm wasimpe nafasi tena labda abadilike na jamii ione kwa vitendo.

GT,Hata mimi nashangaa,wote wanamapungufu,lakin katika ujenz wa chama, zzk hahusiki isipokuwa anajijenga yeye tu,hana team work ila anataka uenyekiti,unaibu katibu mkuu umemshinda nafasi ambao mwenzie mwiguru anaitumia ipasavyo, anataka urais wa nchi..? Inajijenga yeye,mbinafs hakika naanza kupata mashaka sana na wanasiasa wa kigoma.ZZK ni shujaa?
 
je tenda ya mabango wamechukuliwa wale walioweka ya Jk

Aliyeshindwa kusaliti CHAMA MNAMWITA SHUJAA je ANGEFANIKIWA?

Kama anamwanasheria tayari na Dr mkumbo wa sera si Waanzishe chama chao kuliko KUWAONGOPEA WANACHADEMA OKSJENI YA MTANZANIA kwa UKOMBOZI WA 2 eti maajabu INAHITAJI WASALITI na WANAKUBALIKA

Walio mchagua jimboni kwake ndio wanamwita shujaa haijalishi kama Dr slaa na Mbowe wanamwita ZZK msaliti kwao, lakini wale anaowaongoza kule jimboni bado wanamthamini.
 
kwa upande wangu sioni kama ni tatizo,kwani wabunge wengi wa vyama pinzani bado wanatumia pesa zinazotolewa na serikali ya ccm ktk kufanya mambo yao mbalimbali.
hata kama mkutano utaratibiwa na uvccm,cha msingi ni kwamba zitto anakwenda kuongea na wapiga kura wake kama mbunge na wakati anachaguliwa hakukuwa na nembo ya wapiga kura inayoonyesha kuwa huyu ni ccm,cuf,cdm ama nccr mageuzi,kwahiyo mkutano wa mbunge zitto unaweza kuandaliwa na mtu yeyote yule cha msingi tu awe ni mkaazi wa jimbo la mbunge zitto,maana anakwenda kama mbunge na si kiongozi wa CDM.

wewe ni Eng kweli au unatumia tuu hilo neno Eng, Mimi pia Eng lakini najua maEng wako objective saana wewe naona uko subjective, au eng wa kata? Umegraduate mwaka gani ili nijue?
 
Ushujaa huu wa Zitto kafanyaje ? Maana kila shujaa ana tukio .Yeye kutaka kukigawa Chama kwa mapenzi na imani kwamba yeye ndiye Chadema ndiyo leo mnamwita shujaa ? OK watarusha LIVE wakiwa wanataka kuonyesha nini ? Kama anakubalika jimboni kwake so what ? Kama Chadema ni mbaya ya kibaguzi si atangaze kujiondoa tu badala ya kulumbana?
 
Wastage of time,tumeshawasikia CDM wanachosema juu ya zito,na tumesikia Zito anachosema juu ya CDM.wote wanatakiwa wabadilike,asiyeweza kufanya kazi na wenzie asipoteze muda wetu kujadili stori zake.shujaa gani anaenda kujenga chama peke yake kila siku?wenzie wanapigwa mabomu,wanaumizwa yeye anasubiri kugombea vyeo kila kona.oparesheni za chama haonekani,vikao hahudhurii,ccm ndio marafiki zake wakubwa.halafu anataka apewe UENYEKITI na AGOMBEE URAIS.Huyo ndio shujaa??Hizi ni tamaa,cdm wasimpe nafasi tena labda abadilike na jamii ione kwa vitendo.

Hakika umenena, Kazi wafanye wengine kula ule wewe haya ni mambo ya Fisi hayakubaliki,
 
Mkuu, CCM iko imara na ndo maana inashika dola. Nyie katibu Mkuu wenu amesema chama chenu hakiko imara. Badala ya kumtumia Zitto kuimarisha chama, mnamtumia kukibomoa chama

Kwanini nyie msimchukue ili mzidi kuimarisha chama Chenu cha CCM!
 
Ikiwa bado siku moja kabla ya Zitto hajatua hapa Kigoma kuja kuzungumza na Wananchi wake,kutoa kile Wanakigoma wanakisubiria kwa hamu sana kusikia toka kwa Shujaa..Mwanao Zitto Zuberi Kabwe.

Hapa Kigoma Kasulu,Mwandinga na Kigoma Mjini Tax,Bodaboda zinapepea matangazo ya KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE TAR.21.12.2013
Heka heka za hapa na Pale zinaendelea huku maandalizi ya Mikutano yote ikiwa imekamilika kwa hisani ya Wananchi wa Kigoma.
Moja ya Bango ni hili hapa.

attachment.php


......... Mmmmmmmh!

 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    10.2 KB · Views: 72
Walio mchagua jimboni kwake ndio wanamwita shujaa haijalishi kama Dr slaa na Mbowe wanamwita ZZK msaliti kwao, lakini wale anaowaongoza kule jimboni bado wanamthamini.

Ww ndio mpuuz kweli nani kakwambia hata jimbon kwake wanamtaka? Zitto kakataliwa na taifa zima hapo alipo anafanya mchezo wa mdundiko lakin ngoma ikisimama naye atasimama.
 
Zitto anatakiwa kuwa na heshima kwa CDM na viongozi wake full stop.
 
Pls usimtukane Mandela kiasi hiki.Muache apumzike kwa Amani

Mandela hajawahi kuchukua hela kwa makaburu.Hajawahi kuchukua cheki.Hajawahi kuwa na chuki na kutishia kuua watu.Hajawahi kuuza utu wake na watu wake.Hajawahi kuwa mnafiki

Please ,spare us with your ignorance!

We beni huyo mbowe ashachukua hela kwa rostam mnafik mkubwa ww tunayajua mengi ya lahaba wako ila tunanyamaza tuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom