Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Kinachoendelea Kigoma "KARIBU SHUJAA ZITTO KABWE".

Status
Not open for further replies.
karibu shujaa ZZK

Mkuu, kwani Mbowe na Dr Slaa wanachafuliwa au wanajichafua? Ukweli ni kuwa image yao wanaiharibu wao wenyewe kwa tamaa zao za kimwili
Wajichafuwe ama muwachafuwe bado watanzania wana imani nao.

Ndio maana sasa hivi maCCM hayawezi kuongea jambo lolote bila kutaja Dr. Slaa, anagalia post na thread zenu, vijana wa Lumumba, hakuna hata mmoja wenu ataacha kumtaja.

Baraza la mawaziri mizigo kutwa kuwataja, usalama wa taifa hauishi kuitaja CHADEMA. ,

Kwetu sie hizi ni ishara nzuri, inaonyesha wanakubalika sana,
 
Nimesoma post nyingi humu, nimekuja ku-realize kwamba ZZK ni fupa gumu. Watu wanahangaika kweli kusikia kijana anarudi kwao kuzungumza na ndg zake. Kwani mnachoogopa ninini?
 
huyu siyo shujaa tena angefanikiwa kuibomoa CHADEMA mgeweza kumwita hivyo lakini kwasasa ni sawa na mende aliye geuzwa miguu juu...

kwa kigoma ni shujaa kwani alifanikiwa kujaribu kufanya usaliti
 
Nelson Madiba Mandela alikuwa mhaini na akafungwa na alipokuwa kifungoni wananchi walimuona ni shujaa na mwisho wa siku akawa rais wa hao waliomfunga na wananchi waliokuwa nyuma yake. Unaweza kumwita ZK msaliti lakini wananchi wake wanamhitaji
Usimdhalilishe Mandela ukamfananisha na Zitto. Mandela hakubembeleza urafiki na makaburu waka hakuhongwa kuusaliti ukombozi wa mweusi. Alipigwa mabomu ya machozi, alionewa na kufungwa jela. Huyu anayekwepwa kwa makusudi na warusha mabomu ya machozi, kwe ye mkutano wake polisi wanati sheria huku wenzake wakibambikiwa kesi ambazo ni wazi anashiriki kuzitunga na akishiriakana na TISS, huku wenzake wakirushiwa mabomu kwenye mikutano na kufungwa jela. Huyu umfananishe na Mandela? Mandela hakuwa ndumilakuwili wala haikufika hata siku moja team ya mapambano ya ukombozi na watu weusi wakamtilia shaka.
Mandela alikuwa mtu mwenye busara na hekima. Huyu anayetambia kuua kika adui wake kwa uchawi wa Kienyeji eti akijisifia atakayemdhuru ataangamizwa mpaka panya utamlinganisha na Madiba mtu muungwana?
Huyu anayerusha maneno ya uswahilini akishindwa hoja hapa JF mfano kama hutaki meza wembe na taarabu zingine utamfananisha na Madiba.
Huyu aliyetulia baada ya kuonywa kutokuwa na jazba kwani itamwaribia lakini si hulka yake utamlinganisha na baba Madiba?
Nakubali Zitto ana maeneo yake ya kutambia kama mwanasiasa shupavu lakini mapungufu yake nayo ni makubwa mno. Haya mapungufu ni makubwa kiasi kwamba ni hatari kumpekeka katika nafadi za juu za uongozi. Anayosehemu yake stahili kama mpiganaji anayesimamia anayoyaamini japo hilo pia limegubukwa na utata wa kutokuwa mwaminifu lakini hulka, busara na sifa za kiongozi mwenye hekima anazikosa.
 
Ben saanane unatia kinyaa kwa kutoa Mawazo muflisi! Puu (natema mate kama mwigulu bungeni.) Huna thamani tena. Puu (natema mate kwa Mara ya 2.

Jaribio lako la kukusudia kumuua zitto litakugharimu sn kimaisha na hasa kisaikokojia

Puu! Ulaaniwe!
Hahahahahaaaa! Na mie natema puuuuuuuu!
Mtaiga kila uchafu unaofanywa na gaidi lenu, jitu zima linatema mate ndani ya bunge

nafikiri laana ya damu aliyomwaga taratibu inaanza kumrudi mwisho atajisaidia mbele ya kiti cha spika.
 
Huo ni ushahidi mwingine, unatosha sana kumfukuza Zitto. Afukuzwe tuone kama wataendelea kumshabikia na kumpa support. CHADEMA fanyeni maamuzi ya kufukuza huyo, ukimlea na kumwonea huruma, cancer itawamaliza kabla ya uchaguzi. Mfukuzeni hatakuwa na madhara kama yatakuwepo ni kidogo sana.


Kwa taarifa zaidi, Maandalizi yanaendelea vizuri ikiwa ni pamoja na kurushwa live kwa mkutano huo na kituo cha startv huku uratibu mzuri ukiwa chini uv-ccm.
 
Mnachelewa sana kumfukuza.

Hivi unajua Zitto amefanya mangapi na Mbowe? Unajua kama Zitto anajua vitu vingi vizuri na vibaya juu ya Mbowe? Kiasi kwamba kama akiamua kuyasema yote kwa ushahidi alionao basi Mbowe siasa basi!!

So kwa mantiki hiyo, Zitto hatakaa afukuzwe kwenye chama, labda kama Mbowe sio Mwenyekiti, ila kama Mbowe ni Mwenyekiti Zitto ni mwanachama.

If wishes were horses you would have been the richest
 
Nimesoma post nyingi humu, nimekuja ku-realize kwamba ZZK ni fupa gumu. Watu wanahangaika kweli kusikia kijana anarudi kwao kuzungumza na ndg zake. Kwani mnachoogopa ninini?

Mhasi na mhaini Zitto hafai kuwa hata mwenyekiti wa kitongoji.
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma post nyingi humu, nimekuja ku-realize kwamba ZZK ni fupa gumu. Watu wanahangaika kweli kusikia kijana anarudi kwao kuzungumza na ndg zake. Kwani mnachoogopa ninini?

Hakuna anayehangaika muulize aliyeweka thread. Aende Kigoma atangaze kujivua uanachama kabla hajavuliwa atakuwa amefikia lengo la juu kabisa la kuibomoa CHADEMA kwa akili zake za dagaa
 
Zitto hana tofauti na Osama sema Osama yeye ni Talban na Zitto ni Masalia.

ZITTO NI JANGA LA KITAIFA.
 
Last edited by a moderator:
SIASA MBAYA SANA,inakufanya uwe maarufu sana,unaanza kumiliki vitu vya thamani kama magari,nyumba n.k kwa mda mfupi,SASA linapokuja suala la kuporomoka kisiasa,mwanasiasa huyohuyo anaanza kutumia mali hizohizo kuhakikisha anandelea kubaki kwenye chati,mpaka anafilisika.HAYA ndiyo yanayompata zito kwa sasa,atatumia rasilimali zake zote na hata kuingia madeni kuhakikisha anapambana na chama chake mpaka atabaki kama alivyo.Mikutano yake hii itamgharim pesa nyingi sana na atataka kuzunguka nchi nzima kupambana na chama anachotaka kuwa Mwenyekiti.HITIMISHO:madereva bodaboda wa kigoma wakae mkao wa kula kipindi hiki,uchumi wa kigoma unatarajiwa kuongezeka kwa 6%.
 
Pls usimtukane Mandela kiasi hiki.Muache apumzike kwa Amani

Mandela hajawahi kuchukua hela kwa makaburu.Hajawahi kuchukua cheki.Hajawahi kuwa na chuki na kutishia kuua watu.Hajawahi kuuza utu wake na watu wake.Hajawahi kuwa mnafiki

Please ,spare us with your ignorance!

ben mbona kila siku mnasema zitto kapokea pesa kutoka ccm ila hamjawahi kusema kapokea vipi, wapi na kwa nani? Hata ile report ya siri kuhusu zitto chama kilikanusha kupitia mnyika, mtei na slaa kuwa si kweli. Mbona mnataka kutuaminisha kwa hisia tu? Naomba unijibu ben.
 
SIASA MBAYA SANA,inakufanya uwe maarufu sana,unaanza kumiliki vitu vya thamani kama magari,nyumba n.k kwa mda mfupi,SASA linapokuja suala la kuporomoka kisiasa,mwanasiasa huyohuyo anaanza kutumia mali hizohizo kuhakikisha anandelea kubaki kwenye chati,mpaka anafilisika.HAYA ndiyo yanayompata zito kwa sasa,atatumia rasilimali zake zote na hata kuingia madeni kuhakikisha anapambana na chama chake mpaka atabaki kama alivyo.Mikutano yake hii itamgharim pesa nyingi sana na atataka kuzunguka nchi nzima kupambana na chama anachotaka kuwa Mwenyekiti.HITIMISHO:madereva bodaboda wa kigoma wakae mkao wa kula kipindi hiki,uchumi wa kigoma unatarajiwa kuongezeka kwa 6%.

Kaka huo ndio mwisho na anguko la mnafiki Zitto.Over
 
Last edited by a moderator:
Ningekuwa nashabikia siasa basi ili kummaliza mpinzani wangu ..ingeingia upande wa Zito na kufanya awe shujaa mara mia.. ningewashawishi vijana na watu wote kuwa yule ambaye hatakiwi kule basi ni shujaa...hapa ningeweza kumvunja kabisa mpinzani wangu..kwani kwa sasa ..wengine wanashabikia kama upepo na ni rahisi kuwageuza na kuwachezea navyotaka...

God Bless Africa ili tuwe na akili timamu na tufikirie maendeleo ya kweli badala ya porojo za wanasiasa!!
 
Kwa mwenye akili nzuri hawezi kushabikia Mbowe.

Mtu alokamili hawez kushindwa kuendana na wasaidizi watatu wote akaonekana hana matatizo. Alishindwana na ;
1. Dr.Walidi Kabouru

2. Chacha Wangwe

3. Said Arfi

Na sasa Zitto Kabwe.
 
“There are two ways to be fooled. One is to believe what isn't true; the other is to refuse to believe what is true.”

Foolishness is more than being stupid, that deadly combination of arrogance and ignorace

(Paul David Tripp)
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom