Kinachodumisha mapenzi hiki hapa...

Wiyelelee

JF-Expert Member
Nov 9, 2012
1,071
347
Wana JF,

Kuna thread nyingi sana humu ambazo wanawake wamedai wanawapenda wanaume wenye pesa, magari and kupenda kuolewa na mwanaume ambaye ana nyumba, tena sio hiyo ya pale Gongolamboto au Vingunguti au hapo Mbagala mwisho wa upepo! Wanapenda nyumba iwe Mbezi, Mikocheni au maeneo ya huko Tegeta! Sawa utampata!

Wanaume nasi tunapenda mteremko ati! Eti na sisi tunataka mwanamke awe na ki vitz kwa ajili ya kudandia kila siku!

Lakini, mimi kwa uzoefu wangu nimegungua kwamba kumbe interests ambazo zimeoana au zinafanana (or hobbies) ni muhimu sana katika kudumisha mapenzi. Mfano, iwapo unaoa au unauhusiano na mwanamke ambae hapendi kusoma novels, au magazines, inakuwia taabu sana pale ambapo unasoma na yeye anamangamanga macho tu! Mara nyingi utamskia akilalamika kwamba "We nawe, uko busy kama unachukua PhD?

Pia, mfano unapenda kutoka, na unakuwa na mwanamke/mwanaume ambe yeye akitoka ni kwenda Disco tu. Ukimpeleka beach au sehemu nzuri za kupunga upepo huku ukishushia kidogo yeye ananuna! Anataka achezeshe kiuno pale kwa akina Ngwasuma! Sasa hapa mnakuwa hamuendani kabisa. Wengi ambao walioa bila kuangalia iwapo interest zina match hawana furaha katika ndoa zao. Wanarushiana madongo kwamba " Mama au Baba fulani ni mshamba!"

Chukulia kama mke/mme anaimba kwaya na mmojapo kanisani ni kituo cha Polisi, ataona faida gani ya kuwa nawe karibu? Sasa tusikumbuke haya pale ambapo maji yamemwagika, wengine tuliochemka tuzidi kuvumilia haya maji ya moto la sivyo labda ni kujitafutia ka air conditioner kakupoza kidogo! ....

Hivyo sio vizuri kuangalia material tu maana hayatakuwa na maana kama interests zenu zina differ! Mwezenu juzi ndo nimemuona ambaye kweli angekuwa suitor wangu kiukweli. Ana interest zangu zoooote! Sasa imenibidi mdomo uwe zege, nikaishia kujing'ata na kumeza mate!

Asalaam aleikum.
 
Wana JF,

Chukulia kama mke/mme anaimba kwaya na mmojapo kanisani ni kituo cha Polisi, ataona faida gani ya kuwa nawe karibu? Sasa tusikumbuke haya pale ambapo maji yamemwagika, wengine tuliochemka tuzidi kuvumilia haya maji ya moto la sivyo labda ni kujitafutia ka air conditioner kakupoza kidogo! ....

Hivyo sio vizuri kuangalia material tu maana hayatakuwa na maana kama interests zenu zina differ! Mwezenu juzi ndo nimemuona ambaye kweli angekuwa suitor wangu kiukweli. Ana interest zangu zoooote! Sasa imenibidi mdomo uwe zege, nikaishia kujing'ata na kumeza mate!

Asalaam aleikum.

Hahaahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! !!!!!!! kama kawaida yako Wiyelele, Loh! umenifurahisha sana maana bado unamtafakari mkeo tuuuuu, mm nimeshakwambia mkae chini mweleze unachotaka na kuoenda na muombe akufanyie, kuliko unavyoumia kila siku, itakupelekea kufanya mambo mabaya .Kama hapo kwenye hako ka air conditioner kanaweza kakakupooza kila kitu shauri lako.
 
kama uwezekano wa kumpata mwenye interest sawa na zako hilo jambo zuri. Lakini uzoefu unaonyesha walio wengi huangukia kwenye mahusiano ambayo baadhi tu ya interest ndo hufanana. Mara nyingi interest za kawaida huwa zinafundishika kama wapenzi wenyewe wanajua kuchukuliana, kuvumiliana, kusaidia na pia wanapendana kwa dhati.

Mara ngapi tunawasindikiza walevi bar wakati sisi si walevi? Au mara ngapi tunawasindikiza watu kuangalia mpira wakati sisi si wapenzi wa mpira? Au mara ngapi tunaenda movie just kumsindikiza rafiki au mpenzi? Mara ngapi twaenda beach au kuogela just kumsindikiza fulani? Huo si utofauti wa interest?

Na niulize swali la kizushi, vipi kwa wale walioona ambao interest zao ziko tofauti wafanyaje? Au wale wenye BF/GF wanaokumbwa na kadhia hii nao wafanyaje? Wamwagane? Au tuseme hawatudumu kwenye ndoa huko baadaye?

Nafikiria kikubwa zaidi cha kuangalia ili kudumisha mapenzi ni uaminifu, kusaidiana, kuheshimiana, kupendana, kushirikiana, kushirikishana na mengineyo yote ambayo tumekuwa tukiyajadili humu mara kwa mara yenye melngo wa namna hii.
 
kama uwezekana wa kumpata mwenye interest sawa na zako hilo jambo zuri. Lakini uzoefu unaonyesha walio wengi huangukia kwenye mahusiano ambayo baadhi tu ya interest ndo hufanana. Mara nyingi interest za kawaida huwa zinafundishika kama wapenzi wenyewe wanajua kuchukuliana, kuvumiliana, kusaidia na pia wanapendana kwa dhati.

Mara ngapi tunawasindikiza walevi bar wakati sisi si walevi? Au mara ngapi tunawasikiza watu kuangalia mpira wakati sisi wapenzi wa mpira? Au mara ngapi tunaenda movie just kumsindikiza rafiki au mpenzi? Mara ngapi twaenda beach au kuogela just kumsindikiza fulani? Huo si utofauti wa interest?

Na niulize swali la kizushi, vipi kwa wale walioona ambao interest zao ziko tofauti wafanyaje? Au wale wenye BF/GF wanaokumbwa na kadhia hii nao wafanyaje? Wamwagane? Au tuseme hawatudumu kwenye ndoa huko baadaye?

Nafikiria kikubwa zaidi cha kuangalia ili kudumisha mapenzi ni uaminifu, kusaidiana, kuheshimiana, kupendana, kushirikiana, kushirikishana na mengineyo yote ambayo tumekuwa tukiyajadili humu mara kwa mara yenye melngo wa namna hii.
mi nilidhani peke yangu, lol!
 
Aaaaaaaa wapi!THEY ARE ALL THE SAME REGDLESS THEIR ACTS OF TRICKING YOU THEY ARE DIFFERENT!
:nono:
Sheria ukiingia mnadani ni moja tu!!!!!!!!!! Ng'ombe ni ng'ombe hata akiitwa Beef ribs, beef sausage, steak, bacon, tendons, ni ngo'mbe tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!

UKICHAGUA NYAMA CHAGUA ILIYONONA!!!!!!!!!:A S 39:
 
aaaaaaaa wapi!they are all the same regdless their acts of tricking you they are different!
:nono:
Sheria ukiingia mnadani ni moja tu!!!!!!!!!! Ng'ombe ni ng'ombe hata akiitwa beef ribs, beef sausage, steak, bacon, tendons, ni ngo'mbe tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ukichagua nyama chagua iliyonona!!!!!!!!!:a s 39:
now days uko bizeee sioni makarabashikarbashi yako aisee .hujambo lakini
 
nakubaliana na wewe interests ndio muhimu...ata wazazi wanakoseaga hapo. mama akikuchagulia mke ata hakikisha kweli ni wife material, anatoka familia nzuiri ana maadili na pia ni mzuri wa kuridhisha kwa muonekano ila wanapokoseaga ni interests zako na huyo mwanamke kama zinaendana...ndio maana wake wakuchanguliwa ndoa hazidumu
 
kama uwezekano wa kumpata mwenye interest sawa na zako hilo jambo zuri. Lakini uzoefu unaonyesha walio wengi huangukia kwenye mahusiano ambayo baadhi tu ya interest ndo hufanana. Mara nyingi interest za kawaida huwa zinafundishika kama wapenzi wenyewe wanajua kuchukuliana, kuvumiliana, kusaidia na pia wanapendana kwa dhati.

Mara ngapi tunawasindikiza walevi bar wakati sisi si walevi? Au mara ngapi tunawasindikiza watu kuangalia mpira wakati sisi si wapenzi wa mpira? Au mara ngapi tunaenda movie just kumsindikiza rafiki au mpenzi? Mara ngapi twaenda beach au kuogela just kumsindikiza fulani? Huo si utofauti wa interest?

Na niulize swali la kizushi, vipi kwa wale walioona ambao interest zao ziko tofauti wafanyaje? Au wale wenye bf/gf wanaokumbwa na kadhia hii nao wafanyaje? Wamwagane? Au tuseme hawatudumu kwenye ndoa huko baadaye?

Nafikiria kikubwa zaidi cha kuangalia ili kudumisha mapenzi ni uaminifu, kusaidiana, kuheshimiana, kupendana, kushirikiana, kushirikishana na mengineyo yote ambayo tumekuwa tukiyajadili humu mara kwa mara yenye melngo wa namna hii.
ni bora mimi nilikutana na mwenye hobi kama zangu hakuna cha bar,beach,kuenjoy sijui ngwsuma,what ever -sisi kama uko idle ni kwenda nyumbani nakulala sisi ni home -job then home sisi tunatokea kwenda kusali tu baaas tofauti na hapo ni home sweet home
 
Tuko wengi aisee, kama mtu kakuomba vizuri umsindikize, tatizo ni nini? Unamsindikiza wakati yeye anaenjoy na mambo yake na wewe unafungua tablet yako una surf JF!!!!
ha haaa, ila kumsindikiza kuangalia mpira aiseee patachimbika, lol!
dakika 90? sijui + half time, na kama kutatokea dakika za nyongeza, lol! inahitaji moyo.....
atajikuta ananiamsha tu tuingie chumbani kama tulikua tunaangalizia living rum, kama ndo tunaangalizia bedrum tutaambiana gudnite asubuhi, lol!
 
ni bora mimi nilikutana na mwenye hobi kama zangu hakuna cha bar,beach,kuenjoy sijui ngwsuma,what ever -sisi kama uko idle ni kwenda nyumbani nakulala sisi ni home -job then home sisi tunatokea kwenda kusali tu baaas tofauti na hapo ni home sweet home
home sweet home mnaangalia wote isidingo.... mpira.... ze komedi.....?
 
home sweet home mnaangalia wote isidingo.... mpira.... ze komedi.....?
kuna mambo mazuri kwenye DSTV PREMIUM PACKAGE.hahahah FP hata kama hatuko wote ishazoeleka after work go home.mara nyingine unaangalia tulivyochuma japo nilikuwa mzururaji mjini nimejikuta baasi nikienda kkoo ni shopping ya chakula then home .home sweet home
 
Last edited by a moderator:
sipati picha na ndoa zetu mseto, kama itakuwa kusindikizana kila sehemu mpaka kwa masjid na church

mapenzi hayapimiki ki ivyo.......
 
kuna mambo mazuri kwenye DSTV PREMIUM PACKAGE.hahahah FP hata kama hatuko wote ishazoeleka after work go home.mara nyingine unaangalia tulivyochuma japo nilikuwa mzururaji mjini nimejikuta baasi nikienda kkoo ni shopping ya chakula then home .home sweet home
huko kwenye DSTV premium package ndo ugovi unakoanzia......
kuna mipira 24 hrs, channels kibao..... sasa mimi African magic naangalia saa ngapi?
na yeye African magic haipandi basi mnaamua kununua dual deck kila mtu anachagua kona yake na kuangalia anachotaka..... hapo mtakuwa mna interest sawa?
labda HorsePower anisaidie hapa
 
Last edited by a moderator:
Hahaahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! !!!!!!! kama kawaida yako Wiyelele, Loh! umenifurahisha sana maana bado unamtafakari mkeo tuuuuu, mm nimeshakwambia mkae chini mweleze unachotaka na kuoenda na muombe akufanyie, kuliko unavyoumia kila siku, itakupelekea kufanya mambo mabaya .Kama hapo kwenye hako ka air conditioner kanaweza kakakupooza kila kitu shauri lako.

Unajua raha ya air conditioner ni kwamba ikizidi unajifunika na blanket, je raha ya joto huwezi kujifunika tena! Anyway Lisa, ndo maana hapa mdomo ulikuwa zege, ilinibidi ninyamaze tu!
 
Back
Top Bottom