Kinachodumisha mapenzi hiki hapa...

Kinachodumisha mapenzi hiki hapa...

hii nayo ina madhara yake, mnaweza msile wala kunywa humo ndani kutokana na kufanana interests

Shida inakua pale wote mnapenda mpira, halafu mmoja kawa shabiki wa YANGA, na mwingine SIMBA!
 
hahahahhaha umenichekesha sana eti tuliokosea tuvumilie la tutafute ka air conditioner kaku pooza watu mna maneno nyie acheni tu.
 
yap ni kweli kwamba mkioana hobbies sawa inakuwa poa kabisa, lkn jamani hebu twendeni mbele turudi nyuma tumewah kujiuliza familia ambazo baba ana pendelea vitu fulan halafu mama hapendelei??

mara nyingi sana wamama tumekuwa watu ambao tunamudu kuwa flexible na hobbies za wenzi wetu ila wababa mweeeh............wako rigid sana. utakuta mama hata kama hapendi kujisomea ama sio mtu wa kunywa pombe lkn so long as baba anakunywa basi mama huwa anakuwa karibu yake kumpate, kurefill glass ya baba, kumpa stori mbili tatu hadi baba achoke kunywa.

kinyume chake kama baba hanywi halafu mama ndo mnywaji ni patashika nguo kuchanika. baba hawez kumsindikiza mama bar kwenda kunywa.

nikiliangalia hilo na nkisha nikilinganisha na kujifunza kuvumiliana basi kwangu huwa naonaga mnogo wa mapenzi husindikwa na uvumilivu zaid, na upendo kuliko kuwa na the like interest.
 
huko kwenye DSTV premium package ndo ugovi unakoanzia......
kuna mipira 24 hrs, channels kibao..... sasa mimi African magic naangalia saa ngapi?
na yeye African magic haipandi basi mnaamua kununua dual deck kila mtu anachagua kona yake na kuangalia anachotaka..... hapo mtakuwa mna interest sawa?
labda HorsePower anisaidie hapa
FP na Nivea nimewaelewa sana labda nijisemee mimi.

mimi nilijifunza kuwa tolerant kwenye hobbies hubby. masaa yote yeye akikaa anawaza kusoma tu majournal yote ya uhandisi amalize, sasa mbaya zaid anasoma yeye lkn anataka wewe ndo umskilize ama afanyie discussion bench so uvumilie akisema jambo umjibu na uonyeshe interest kwenye anachokisema. mbaya zaid sijui uhandisi hata chembe lkn yeye kanifanya had siku hizi najua latest models za construction na vitu kama hivyo.mwanzo nilikuwa najiuliza kama ningeweza but nilijikuta namudu kwani usipomzingatia anaboreka sana sana. Lkn nilijitahd kuzoea kiasi kwamba hata kama ni bar akianza tu kuyafungua mabuku yake basi mimi ndo discussion memba wake. so muda mwingine huwa tunavumulia mapenzi ya wenzetu.
 
Last edited by a moderator:
yap ni kweli kwamba mkioana hobbies sawa inakuwa poa kabisa, lkn jamani hebu twendeni mbele turudi nyuma tumewah kujiuliza familia ambazo baba ana pendelea vitu fulan halafu mama hapendelei??

mara nyingi sana wamama tumekuwa watu ambao tunamudu kuwa flexible na hobbies za wenzi wetu ila wababa mweeeh............wako rigid sana. utakuta mama hata kama hapendi kujisomea ama sio mtu wa kunywa pombe lkn so long as baba anakunywa basi mama huwa anakuwa karibu yake kumpate, kurefill glass ya baba, kumpa stori mbili tatu hadi baba achoke kunywa.

kinyume chake kama baba hanywi halafu mama ndo mnywaji ni patashika nguo kuchanika. baba hawez kumsindikiza mama bar kwenda kunywa.

nikiliangalia hilo na nkisha nikilinganisha na kujifunza kuvumiliana basi kwangu huwa naonaga mnogo wa mapenzi husindikwa na uvumilivu zaid, na upendo kuliko kuwa na the like interest.

Hapo umenena kweli! Hebu gonga! Ni kweli kabisa hata mimi niningevumilia kumsindikiza mke wangu bar eti akanywe mi nimsubiri hahaha! Atakuwa kanioa basi! Japo naweza nikamwambia akanunua na anywee home basi. Lakini, apart from drinking, hobbies nyingine yawezekana kabisa ukajipinda na ku adapt.
 
Nzuri kabisa, mzima? Ulipotelea wapi? Mimi nilijificha kidogo nikawa najaribu kupambana na changamoto za hapa na pale...


nilikuwa nagombelezea gesi ntwala hukoooo........maana hubby naye hobby yake ndiyo hiyo ya ugomvi
:boxing:ndo zeeetu
 
FP na Nivea nimewaelewa sana labda nijisemee mimi.

mimi nilijifunza kuwa tolerant kwenye hobbies hubby. masaa yote yeye akikaa anawaza kusoma tu majournal yote ya uhandisi amalize, sasa mbaya zaid anasoma yeye lkn anataka wewe ndo umskilize ama afanyie discussion bench so uvumilie akisema jambo umjibu na uonyeshe interest kwenye anachokisema. mbaya zaid sijui uhandisi hata chembe lkn yeye kanifanya had siku hizi najua latest models za construction na vitu kama hivyo.mwanzo nilikuwa najiuliza kama ningeweza but nilijikuta namudu kwani usipomzingatia anaboreka sana sana. Lkn nilijitahd kuzoea kiasi kwamba hata kama ni bar akianza tu kuyafungua mabuku yake basi mimi ndo discussion memba wake. so muda mwingine huwa tunavumulia mapenzi ya wenzetu.

Mi hapa nakupa BIG UP! Mi na hiyo tabia ya kusoma sana, ila mke wangu japo ni graduate yeye kwake ni kama bomu! Hapendi kabisa. Nikisoma ananiuliza hivi "Wewe unakuwa busy utadhani ni daktari? Then .... Si upumzike tu uongee kidogo? Wenzako wanakuwa karibu na familia. Mi muda wote nashindwa kabisa kuongea mambo ya kawaida. Most of the times my area of discussion ni kuhusu kazi yangu. Yeye akisema anipe stori basi ni umbea wa ofsin kwake! Khaa! Mimi sipendi kabisa umbea!
Namshauri kwamba ikiwa ikiwa busy, utaachana na umbea! Sio kila cku unaweza ukamtoa mtu outing! Kuna cku zake pia. But most of the times, wanawake ni lazima wa adapt hobbies za waume zao iwapo wanataka kudumisha upendo. Nimefurahishwa sana na gfsonwin
 
Hapo umenena kweli! Hebu gonga! Ni kweli kabisa hata mimi niningevumilia kumsindikiza mke wangu bar eti akanywe mi nimsubiri hahaha! Atakuwa kanioa basi! Japo naweza nikamwambia akanunua na anywee home basi. Lakini, apart from drinking, hobbies nyingine yawezekana kabisa ukajipinda na ku adapt.

tatizo ni kwamba hobbies za kike ni ngumu sana kuwa adopted na wakaka.
mfano mie hupenda sana sana outing ila na friends sasa hubby ameshindwa kabisa kunisaidia kwenye hili as anataka mkitoka umzingatie yeye tu ili hali nataka na friends zangu wafurahie uwepo wangu. kwa kulijua hilo huwa namwomba ruhusa separate kabisaa kwamba naomba nitoke na cacico akikubali poa akigoma napo roho itauma ila inakuwa poa tu
 
Last edited by a moderator:
nilikuwa nagombelezea gesi ntwala hukoooo........maana hubby naye hobby yake ndiyo hiyo ya ugomvi
:boxing:ndo zeeetu

Hahahah! Mi naamini ni katika kuwekana sawa. Wengine wanasema mwanaume asipokugombeza basi hakupendi....
 
FP na Nivea nimewaelewa sana labda nijisemee mimi.

mimi nilijifunza kuwa tolerant kwenye hobbies hubby. masaa yote yeye akikaa anawaza kusoma tu majournal yote ya uhandisi amalize, sasa mbaya zaid anasoma yeye lkn anataka wewe ndo umskilize ama afanyie discussion bench so uvumilie akisema jambo umjibu na uonyeshe interest kwenye anachokisema. mbaya zaid sijui uhandisi hata chembe lkn yeye kanifanya had siku hizi najua latest models za construction na vitu kama hivyo.mwanzo nilikuwa najiuliza kama ningeweza but nilijikuta namudu kwani usipomzingatia anaboreka sana sana. Lkn nilijitahd kuzoea kiasi kwamba hata kama ni bar akianza tu kuyafungua mabuku yake basi mimi ndo discussion memba wake. so muda mwingine huwa tunavumulia mapenzi ya wenzetu.
ha haaaa, nikijicheck mara ya mwisho alipotaka kuni-impress na hobby yake ya mpira ndo aliharibu kabisaaaaaaa....
hongera rafiki kwa kuweza hilo
 
Sasa tusikumbuke haya pale ambapo maji yamemwagika, wengine tuliochemka tuzidi kuvumilia haya maji ya moto la sivyo labda ni kujitafutia ka air conditioner kakupoza kidogo! ....

Mwezenu juzi ndo nimemuona ambaye kweli angekuwa suitor wangu kiukweli. Ana interest zangu zoooote! Sasa imenibidi mdomo uwe zege, nikaishia kujing'ata na kumeza mate!

Asalaam aleikum.[/QUOTE]

Kwaresma imeisha kaka? Hongera kwa kujipatia ka air conditioner
 
Sasa tusikumbuke haya pale ambapo maji yamemwagika, wengine tuliochemka tuzidi kuvumilia haya maji ya moto la sivyo labda ni kujitafutia ka air conditioner kakupoza kidogo! ....

Mwezenu juzi ndo nimemuona ambaye kweli angekuwa suitor wangu kiukweli. Ana interest zangu zoooote! Sasa imenibidi mdomo uwe zege, nikaishia kujing'ata na kumeza mate!

Asalaam aleikum.

Kwaresma imeisha kaka? Hongera kwa kujipatia ka air conditioner[/QUOTE]

Hapana haijaisha ndo maana niliishia kujing'ata na kumeza mate! maana yake sikusema nae kitu chochote, nikamezea
 
hahahaahahahaa kipenzi kawida tu ukiona kakomaa kuangalia hichi wewe unachuku ipad unakula jf bila bughudha.watu wamekariri eti kwenda club,beach ngwasuma,bar sehemu za starehe ,casino eti ndio mapeenziii nononono buni new staili y maisha ,Homee sweet homee

I like it... home sweet home!!!
 
Nasema hivii mapenzi yanalindwa na uwezo wenu wa kupigana mipini tu hayo mengine hayana na fasi. Mfano me, nimpenzi wa soka na mkewangu hataki kusikia hicho kitu kabisaaa, tena leo lazima utokee mzozo ( M.N.U na REAL ) na yeye ni mpenzi wa taarabu kitu ambacho ni karaha kwangu ( umbea mtupu ) lakini mwisho wa yote tukiingia kitandani tunasahau yote pindi tukisha raruana kilammoja anamuona mwenzie ni thamani.
 
Back
Top Bottom