Kinachoboa Mwanza

Kinachoboa Mwanza

Nikishukaga nyegezi pale...nakuwa nimekwisha book chumba cosmopolitan hotel na kuwaambia wanitengenezee ugali samaki..anakuja samaki huyo kama mkono halafu yupo freshi kama hajawahi kaa kwenye fridge...cha ajabu sasa kwenye bei utashangaa unaambiwa buku 8...chumba buku 20 ambacho Arusha au Dar utaambiwa buku 40...kesho yake nakuwa nimeenda kuchill Tunza beach resort full utulivu..ebhana eeh mwanza napaelewa sana..
Mmhh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikishukaga nyegezi pale...nakuwa nimekwisha book chumba cosmopolitan hotel na kuwaambia wanitengenezee ugali samaki..anakuja samaki huyo kama mkono halafu yupo freshi kama hajawahi kaa kwenye fridge...cha ajabu sasa kwenye bei utashangaa unaambiwa buku 8...chumba buku 20 ambacho Arusha au Dar utaambiwa buku 40...kesho yake nakuwa nimeenda kuchill Tunza beach resort full utulivu..ebhana eeh mwanza napaelewa sana..
Bro Cosmo nalala hapo kwa 35k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndipo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Mbeya, Iringa, Moro, Rukwa, Njombe wanawake hawajui kupika wanajua kujaza nyanya na mafuta kwenye mboga
 
Uzuri wa Watu wa Mwanza kwanza tumejaliwa Ukarimu sana na Upendo mkubwa na hatuna tabia ya kujibana bana Chakula yaani Ucnoyo na kwa sababu kuna samaki ni Mkoa unaoongoza kwa watu wenye uwezo mkubwa wa akili(IQ)

Nikwambie pujo sisi tunapenda mboga za majani tunatumia na samaki wa kukaanga au mchemso(kitu cha asili tena ni muhimu asili hamna mafuta). Kama kuna Mtu anabisha niliuoyasema basi anaruhisiwa kunipinga kwa mifano ila ageneralize sio mtu mmoja mmoja.

pujo
 
Iringa Mbeya labda ulikula kipindi baridi Imekukamata na ulimi haukuwa unaweza kufafanua taste vzuri kwa kipindi nilichoishi sijawahi kukutana na chakula kizuri wako chini kwenye mapishi cha ajabu mpunga wanalima wao ila jikoni zero cjajua vyuo vya ufundi wa mapishi vinafanya kazi gani kule hivi majuzi nilikuwa Mbeya Hotel nikahisi labda huko nitapata ahueni ila c lolote c chochote.
Mmmmmmmm bila shaka sehemu nyingine si Mbeya.wale wamama wanajua kupika wali yaani acha kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzuri wa Watu wa Mwanza kwanza tumejaliwa Ukarimu sana na Upendo mkubwa na hatuna tabia ya kujibana bana Chakula yaani Ucnoyo na kwa sababu kuna samaki ni Mkoa unaoongoza kwa watu wenye uwezo mkubwa wa akili(IQ)

Nikwambie pujo sisi tunapenda mboga za majani tunatumia na samaki wa kukaanga au mchemso(kitu cha asili tena ni muhimu asili hamna mafuta). Kama kuna Mtu anabisha niliuoyasema basi anaruhisiwa kunipinga kwa mifano ila ageneralize sio mtu mmoja mmoja.

pujo
Hongereni sana kwa kubarikiwa. Sie wa morogoro na sie tuna yetu ati ahahah
 
Niliwahi kula supu Mwanza ya makongoro ambayo yamekwatwa na mashine. Ilikuwa na ladha nzuri sijapata kuona maishani mwangu
 
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndipo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Utuache. Wewe kama ulienda kwa shangazi yako wakakulowekea mchicha ukala utulie. Ni hayo tu
 
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndipo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Ndo unajua leo mkuu? yaani uko mjini utafikiri kijijini hadi watu wa Sumbawanga town wamewashinda..Ukia mjini unafell ile hali ya wakazi kuwa kweli mjini
Miji sampuli ya Mwanza ni sawa na Kahama au Tunduma yaani miji imechangamka kibiashara lakini life style ya watu wake kuanzia kuongea hadi mavazi ni ushamba mtupu..Vilagization mentality
 
Back
Top Bottom