Kinachoboa Mwanza

Kinachoboa Mwanza

Ndo unajua leo mkuu? yaani uko mjini utafikiri kijijini hadi watu wa Sumbawanga town wamewashinda..Ukia mjini unafell ile hali ya wakazi kuwa kweli mjini
Miji sampuli ya Mwanza ni sawa na Kahama au Tunduma yaani miji imechangamka kibiashara lakini life style ya watu wake kuanzia kuongea hadi mavazi ni ushamba mtupu..Vilagization mentality

Kwahiyo kata kei na madela ndiyo mavazi ya mjini.?

Bure kabisa.
 
Makao makuu ni Katoro, Chato mbwembwe tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mnaojitutumua sijui kuipuuza chato mnapoteza mda,Chato huko itakuwa makao makuu ya mkuu wa mkoa tarajari,watu wastaarabu kama watumishi ndio watajenga, ukitaka biashara ndo nenda huko kwingine sijui katoro sijui buselesele sijui na pumba gani.
Hata mkoa wa Songwe makao makuu yapo Vwawa,mji wa watumishi na wastaarabu lakini hakuna pesa kama Tunduma au Mlowo miji ya wachuuzi na wahuni wahuni
 
we mnyoa denge na kiduku unaongea nini? nani kasema kata k hapa? jifunzeni kuoga na ustaarabu kwanza.Ukitaka kujua nachoongea angalia watu waliosoma na wasio soma..

Wewe upo kundi gani, hoja yako ni ipi hapo.?

Viduku mnanyoa huko mnaojiita wa mjini, hovyo kabisa.... kama wewe pia ni kundi la wasomi kadai pesa zako zimeenda bure.
 
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndipo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Sasa ww unaenda Mwanza Maeneo ya uchochoroni huko kwa msosibwa buku then una generalize, kuna maeneo msosi unapikwa buana acha mchezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo unajua leo mkuu? yaani uko mjini utafikiri kijijini hadi watu wa Sumbawanga town wamewashinda..Ukia mjini unafell ile hali ya wakazi kuwa kweli mjini
Miji sampuli ya Mwanza ni sawa na Kahama au Tunduma yaani miji imechangamka kibiashara lakini life style ya watu wake kuanzia kuongea hadi mavazi ni ushamba mtupu..Vilagization mentality
Ungekosa huu uzi na comment yako ya hivi,ningestafu jf
 
Ndo unajua leo mkuu? yaani uko mjini utafikiri kijijini hadi watu wa Sumbawanga town wamewashinda..Ukia mjini unafell ile hali ya wakazi kuwa kweli mjini
Miji sampuli ya Mwanza ni sawa na Kahama au Tunduma yaani miji imechangamka kibiashara lakini life style ya watu wake kuanzia kuongea hadi mavazi ni ushamba mtupu..Vilagization mentality
Broo umekalia ukwaju asubuh hi duh unaropokwa tu
 
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa ukiacha na Dar es Salaam ambalo limeshika namba moja.

Lakini;

WATU
Ushamba wa watu hii ni pie 22/7 inajulikana

MISOSI
Hapa ndipo shida ilipo, aisee watu wa huku hawajui kupika yani hapa nawapa zero.
Watu wa huku kwenye kuandaa misosi wako rafu na hawajui kabisa yaani wanachojua ni kuchemsha tu vyakula karibia vyote ila ndiyo waandaji ndiyo shida hiki kimeniuzi sana.

Wao wenyeji hawaoni tofauti. Sasa kwa watu ambao wameishi mikoa tofauti tofauti lazima wamind kama ushaishi Pwani, Tanga, Dar hata Dodoma, Iringa, Mbeya, Morogoro wapo vizuri ila siyo huku.

Uzuri ni samaki tu! Unaagiza wali samaki unaletewa samaki aliyechemshwa na wali mkavu hapo washamaliza. Yaani unajiuliza ungeagiza mchemsho tu! Unless uende kula mahotel makubwa sana ila siyo restaurant au migahawa.

BIASHARA
Biashara na mzunguko wa hela unaonekana. Upo
yaani kama misosi inachemshwa ili mradi tu na bei juu bado watu wananunua, pesa ipo
na biashara nyingne naona zinaenda.

Ila kama we mpenda kula usije huku labda ujie samaki tu.
Acha uongo wewe kelele nyiiingi watu wa huku watu wa huku...!kama hujui machimbo tuulize wenyeji tukwambie maana mlioingia mjini kwa mbio za mwenge mna shida.huko pwani unakosifia kuna nini cha maana?
 
Back
Top Bottom