Kina nani walipata "first classes" UDSM shule ya sheria?

Kina nani walipata "first classes" UDSM shule ya sheria?

Asikwambie mtu, kupata first class udsm si kitu rahisi haijalish kozi gan na ukipata bas msuli wake ulikuwa si wa kitoto...nashangaa vyuo vinavyotoa first class ovyo mfano chuo cha iringa unaweza kuta half of students darasan wana first class udsm mpaka lecturer akupe first class au A basi umemshawish ipasavyo thus being the best uni hasa kwenye sheria kinatoa product za maana...binafsi nimesoma udsm tena msuli wa nguvu ila nimeambulia gpa ya 3.6
 
Mkuu hiyo ni technical education hivyo huwezi compare na basic science

Wote watu wa CoICT na COET hawawezi wekwa mzani mmoja na college kama CONAS na COAF.
Unataka kumaaniaha basic science ni ngumu kuliko applied science?
 
sasa first class zao zimewasaidia nini? kwasababu hapo aliyefanikiwa kuliko wote ni Dr. Tenga, wakili aliyepiga hela hadi anaziona za kawaida. kabudi hana hela, anazo za kawaida tu, asha ni za mishahara kama kabudi tu na enzi hizi za magufuli hawawezi kuiba, james orenga (mjaluo huyu) hata simjui, majamba hana lolote zaidi ya kubania wanafunzi pale wasipate kama alivyopata yeye, ataishia kufundisha wenzie tu ili waje kuwa matajiri wampite. ninamheshimu sana Dr. Tenga, kwasababu kati ya woote hao yeye pekee ndiye mwanasaheria nguli anayejua kufundisha, kutunga vitabu na kupractice sheria mahakamani. wengi tumepitia kwenye lawfirm yake na tupo vizuri sana kwenye practice. hao wengine wote mi hawajanizidi kitu zaidi ya vyeti tu.

Huyu unayemsifia atakuw ani tapeli tu.

BREAKING NEWS: WAKILI DK. RINGO TENGA KIZIMBANI KWA KOSA LA UHUJUMU UCHUMI - Full Shangwe Blog
 
haumjui mkuu, nyamaza, kwa kifupi ni kwamba hakuna wakili asiye tapeli, hata hao unaowaamini ni matapeli wa kutupa, ukikua utakuja kuelewa. ndo maana huwa nawaonea huruma sana nyie msiosoma sheria jinsi mnavyotuamini ati "nina mwanasheria wangu", ungelijua sanaa ya sheria na namna wakili anavyoweza kung'ata pande zote mbili na kwamba yupo pale kwa ajili ya fedha na si huruma, ungefukuka macho na masikio. hata hivyo hamna jinsi ila kutuhitaji tu katika hii dunia. but as kwa tasnia hi kwa bongo, usimguse Tenda, ana heshima yake mwache kama alivyo.
 
Asikwambie mtu, kupata first class udsm si kitu rahisi haijalish kozi gan na ukipata bas msuli wake ulikuwa si wa kitoto...nashangaa vyuo vinavyotoa first class ovyo mfano chuo cha iringa unaweza kuta half of students darasan wana first class udsm mpaka lecturer akupe first class au A basi umemshawish ipasavyo thus being the best uni hasa kwenye sheria kinatoa product za maana...binafsi nimesoma udsm tena msuli wa nguvu ila nimeambulia gpa ya 3.6
mukandala alikuwa anatumbia ili akupe A uandike kitu ambacho yeye hakijui.
 
M
sasa first class zao zimewasaidia nini? kwasababu hapo aliyefanikiwa kuliko wote ni Dr. Tenga, wakili aliyepiga hela hadi anaziona za kawaida. kabudi hana hela, anazo za kawaida tu, asha ni za mishahara kama kabudi tu na enzi hizi za magufuli hawawezi kuiba, james orenga (mjaluo huyu) hata simjui, majamba hana lolote zaidi ya kubania wanafunzi pale wasipate kama alivyopata yeye, ataishia kufundisha wenzie tu ili waje kuwa matajiri wampite. ninamheshimu sana Dr. Tenga, kwasababu kati ya woote hao yeye pekee ndiye mwanasaheria nguli anayejua kufundisha, kutunga vitabu na kupractice sheria mahakamani. wengi tumepitia kwenye lawfirm yake na tupo vizuri sana kwenye practice. hao wengine wote mi hawajanizidi kitu zaidi ya vyeti tu.
Tambo za kihehe hizi ndauli bee mwagito
 
Jamani hv Giggy money hakupata first class kwel coz nasikia enzi zake pale Udsm alikuwa vizur sana upstairs.
 
Hivi mpaka ulivofikia hapo hujajua tu tofauti ya Geology na Geography, na pia lazima utofautishe in Geology na With Geology
Tangu department ya Geology ilioanzishwa kulikuwa na kozi moja tu ya Bsc IN Geology na hapajawahi kuwa na first class, hao wote wakina Prof Muhongo, Mruma, Maboko, Ikingura nk hakuna mwenye first class, Hapo kuna Maprof ambao ni walimu wa mwanzo kabisa walikiwa na B tu, B+ ni za kutafuta

Fisrt class kutoka Geology zimeanza wakati wa kozi mpya zilizoanzishwa hapo , yaani unakuta Bsc. Geology with Geography so watu wanakomba points kutoka kwenye Geography na ndio wanapiga hizo 1st class

Kuna Mwamba tulikuwa nae UDSM tulikuwa chimbo moja la misuli muda wote alitoka na First class Bsc in Geology
 
Dr Harrison Mwakyembe

Mh Tundu Antipasi Lissu
hao uliowataja hawakupata first class. kwa kawaida jua kuwa ukipata first class udsm huwa unabakishwa kufundisha, na hao hawakukidhi vigezo hivyo. kama ulisoma udsm law utakuwa umenielewa, ila kama upo kule juu sociology, hutaelewa.
 
Kumbe Tabora School inatisha.
Asha Rose Migiro Tabora Girls
Ndalichako Tabora Girls
Magreth Sitta Tabora Girls
Samuel Sitta Tabora Boys
Prof Kabudi Tabora Boys
Prof Mkandala Tabora Boys
Mwalimu Nyerere Tabora Boys
Prof Lipumba Tabora Boys
Joshua Nassari Tabora Boys
Dokta Ulimboka Tabora Boys
Davies Mwamuyange Tabora Boys

Tabora School ni Noma.
List imejaa professorial level rubbish
 
Back
Top Bottom