Che Mkira
Senior Member
- Jul 8, 2014
- 117
- 152
- Thread starter
- #21
Yule Mzee wakati ule alikuwa akifundisha land law. Sijui kama bado yupoWakati nipo Udsm nilikuwa napenda sana kupita ile njia ya faculty of Law nikiwa naenda library ili niwe nasoma majina ya kwenye zile parking.
Sijui kuna siri gani majina ya wanasheria kuwa mabaya..
Nakumbuka sana kile kibao cha Prof. Mgongo Fimbo.... Huyu hakupata 1st Class kweli ? Hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app