haumjui mkuu, nyamaza, kwa kifupi ni kwamba hakuna wakili asiye tapeli, hata hao unaowaamini ni matapeli wa kutupa, ukikua utakuja kuelewa. ndo maana huwa nawaonea huruma sana nyie msiosoma sheria jinsi mnavyotuamini ati "nina mwanasheria wangu", ungelijua sanaa ya sheria na namna wakili anavyoweza kung'ata pande zote mbili na kwamba yupo pale kwa ajili ya fedha na si huruma, ungefukuka macho na masikio. hata hivyo hamna jinsi ila kutuhitaji tu katika hii dunia. but as kwa tasnia hi kwa bongo, usimguse Tenda, ana heshima yake mwache kama alivyo.