Kina nani walipata "first classes" UDSM shule ya sheria?

Kina nani walipata "first classes" UDSM shule ya sheria?

sasa first class zao zimewasaidia nini? kwasababu hapo aliyefanikiwa kuliko wote ni Dr. Tenga, wakili aliyepiga hela hadi anaziona za kawaida. kabudi hana hela, anazo za kawaida tu, asha ni za mishahara kama kabudi tu na enzi hizi za magufuli hawawezi kuiba, james orenga (mjaluo huyu) hata simjui, majamba hana lolote zaidi ya kubania wanafunzi pale wasipate kama alivyopata yeye, ataishia kufundisha wenzie tu ili waje kuwa matajiri wampite. ninamheshimu sana Dr. Tenga, kwasababu kati ya woote hao yeye pekee ndiye mwanasaheria nguli anayejua kufundisha, kutunga vitabu na kupractice sheria mahakamani. wengi tumepitia kwenye lawfirm yake na tupo vizuri sana kwenye practice. hao wengine wote mi hawajanizidi kitu zaidi ya vyeti tu.
Hii kwa kikwetu tunaita UJIVUNI ila all in all yakupasa ujisifie kabla hujasifiwa na mtu mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Tabora School inatisha.
Asha Rose Migiro Tabora Girls
Ndalichako Tabora Girls
Magreth Sitta Tabora Girls
Samuel Sitta Tabora Boys
Prof Kabudi Tabora Boys
Prof Mkandala Tabora Boys
Mwalimu Nyerere Tabora Boys
Prof Lipumba Tabora Boys
Joshua Nassari Tabora Boys
Dokta Ulimboka Tabora Boys
Davies Mwamuyange Tabora Boys

Tabora School ni Noma.
Basi nahii inatisha
Masalakulangwa,,,,,,,Binza ss
Malunguja,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Binza ss
Kimali Pius,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Binza s
John Kabula,,,,,,,,,,,,,,,, ,,,,,,Binza ss
Erasto Kwilasa,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,Binza ss
Kabalebe Rwabukambala,,,,Binza ss

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaofundisha pia hawataki kuvunjiwa records zao ili waendelee kukumbukwa wao hiyo ni elimu ya kiafrika illiyojaa ubinafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio akili mbovu ya waalim wa vyuo vya kitanzania. Sijui kwa nini wana roho mbaya hivi.

Mbona waalim wa shule za misingi na sekondari humpa mwanafunzi kile chote alichonacho na huona fahari wanafunzi wao kufanya vizuri kuliko wao, nini shida kwa waalimu wa vyuo?

Nilifundishwa na mwalimu mmoja mpumbavu somo la Advanced audit and assurance service, kisa yeye alipata first class basi hakutaka mwingine apate kama yeye, hakutaka wengine wapate A kama yeye.

Watanzania sijui akili yetu ikoje.
 
CONAS kuna magenius wengi sana,,,,
Bado kuna Assistant Lecturer mmoja yeye alisomea BscEd(chemistry na Biology) alitoka na undergraduate GPA ya 4.6 ambayo ni first class pia na wengineo weeengiiiiiiiii!


Mbona za kitoto hizo GPA.
College inayokimbiza kila mwaka ni CoICT vijana wa Telecom wako on fire
 
...wacha we..hizi ni products za zamani...tuzungumze wanasheria wanaotisha sasa...huwezi kuwakosa products za Umbwe sec ya miaka ya late 80's na 90's....types kama kina Nshala....ama Kaishozi..et al..hata kina Lissu ni wa miaka hii japo si product ya umbwe....miaka hii umbwe sec ilikuwa inahamishia div one kali zote (HGL) kwenda udsm....it was just amazing....sio sasa...

Kumbe Tabora School inatisha.
Asha Rose Migiro Tabora Girls
Ndalichako Tabora Girls
Magreth Sitta Tabora Girls
Samuel Sitta Tabora Boys
Prof Kabudi Tabora Boys
Prof Mkandala Tabora Boys
Mwalimu Nyerere Tabora Boys
Prof Lipumba Tabora Boys
Joshua Nassari Tabora Boys
Dokta Ulimboka Tabora Boys
Davies Mwamuyange Tabora Boys

Tabora School ni Noma.
 
Kumbe Tabora School inatisha.
Asha Rose Migiro Tabora Girls
Ndalichako Tabora Girls
Magreth Sitta Tabora Girls
Samuel Sitta Tabora Boys
Prof Kabudi Tabora Boys
Prof Mkandala Tabora Boys
Mwalimu Nyerere Tabora Boys
Prof Lipumba Tabora Boys
Joshua Nassari Tabora Boys
Dokta Ulimboka Tabora Boys
Davies Mwamuyange Tabora Boys

Tabora School ni Noma.
Ongezea na Asha Baraka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tokea 1992 hakuna aliyewahi pata first class kwenye hicho kitivo na kwamba kama ni watu 15 pekee waliowahi kuipata basi tuseme wengi wanaosoma hicho kitivo ni vlaza au vipi...
Mbona vitivo vingine mambo ni mazito na watu wanapiga first class kila mwaka...?
Shuele ya COET na CONAS ni ngumu vibaya, ila hakuna mwaka ambao watu wanamaliza huko bila kuwa na first class...
 
sasa first class zao zimewasaidia nini? kwasababu hapo aliyefanikiwa kuliko wote ni Dr. Tenga, wakili aliyepiga hela hadi anaziona za kawaida. kabudi hana hela, anazo za kawaida tu, asha ni za mishahara kama kabudi tu na enzi hizi za magufuli hawawezi kuiba, james orenga (mjaluo huyu) hata simjui, majamba hana lolote zaidi ya kubania wanafunzi pale wasipate kama alivyopata yeye, ataishia kufundisha wenzie tu ili waje kuwa matajiri wampite. ninamheshimu sana Dr. Tenga, kwasababu kati ya woote hao yeye pekee ndiye mwanasaheria nguli anayejua kufundisha, kutunga vitabu na kupractice sheria mahakamani. wengi tumepitia kwenye lawfirm yake na tupo vizuri sana kwenye practice. hao wengine wote mi hawajanizidi kitu zaidi ya vyeti tu.
Kama na wewe ni mwanasheria basi kuna tatizo kubwa sana zaidi ya tudhaniavyo!
 
Kama tokea 1992 hakuna aliyewahi pata first class kwenye hicho kitivo na kwamba kama ni watu 15 pekee waliowahi kuipata basi tuseme wengi wanaosoma hicho kitivo ni vlaza au vipi...
Mbona vitivo vingine mambo ni mazito na watu wanapiga first class kila mwaka...?
Shuele ya COET na CONAS ni ngumu vibaya, ila hakuna mwaka ambao watu wanamaliza huko bila kuwa na first class...


CONAS wanaopiga hizo first class sana sana ni watu wa GEOLOGY ambayo ni simply Geography,

Leta programme nyingine excluding geology ambazo watu wanatusua hayo mafirst class!

Ninakwambia hivi kwa waalimu wa conas ambae ninamjua ana first class anaitwa Chuhila na alibakizwa dept of zoology sasa hivi tunavyoongea jamaa ni assistant lecturer hapo department of zoology ambapo alipata gpa ya 4.6 BscEd ukiachana na huyo sijajua mwalimu gani mwingine wa biology pale CONAS ambae ana First class!
 
Ndo hapo sasa.....hivi Bill gates, carlos Slim, Ortega, Abromovich et al walipata first class.....manake ndo naskia wanamataasisi ya kusaidia watu wao mpaka huku africa kuna miradi kwa baadhi yao mfano hao Gates.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu bright wana tatizo moja Concentration, Kuna watu wengi wamefanikiwa Nje ya shule na Karibu wote hudai mfumo wa Shule unampa limitations mwanafunzi mchukilie mtu Kama N.tesla ali drop out Graz university na kukimbilia Paris kwenye kampuni ya Edison, Kina gates wote hao waliacha college na kuset up their own deal yani ni sawa na ww upate deal ya Kukuingizia hela ndefu utaona kukimbizana na lecturer ni UKUDA, Btw elimu ni muhimu mno mno Tuwasomeshe watoto wetu watakapopevukia na kuona wanachosoma kiko bored waingia watakapo Kwa sababu Goal ni Moja PESA
 
Wakati nipo Udsm nilikuwa napenda sana kupita ile njia ya faculty of Law nikiwa naenda library ili niwe nasoma majina ya kwenye zile parking.

Sijui kuna siri gani majina ya wanasheria kuwa mabaya..

Nakumbuka sana kile kibao cha Prof. Mgongo Fimbo.... Huyu hakupata 1st Class kweli ? Hahaha


Sent using Jamii Forums mobile app
yaah hata mi nilikua nashangaa majina yao,hasa hilo la fimbo haaaah haaah haaah
 
CONAS kuna magenius wengi sana,,,,

Principal wa CONAS anaitwa profesa TJ Lyimo yeye ni profesa wa Microbiology alipata undergraduate GPA ya 4.8 ambayo ni first class ya 3 kutoka juu.

Bado kuna Assistant Lecturer mmoja yeye alisomea BscEd(chemistry na Biology) alitoka na undergraduate GPA ya 4.6 ambayo ni first class pia na wengineo weeengiiiiiiiii!
Vipi wa Bsc ed( Phz & math) zipo hizi???
 
Back
Top Bottom