Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
CONAS wanaopiga hizo first class sana sana ni watu wa GEOLOGY ambayo ni simply Geography,
Leta programme nyingine excluding geology ambazo watu wanatusua hayo mafirst class!
Ninakwambia hivi kwa waalimu wa conas ambae ninamjua ana first class anaitwa Chuhila na alibakizwa dept of zoology sasa hivi tunavyoongea jamaa ni assistant lecturer hapo department of zoology ambapo alipata gpa ya 4.6 BscEd ukiachana na huyo sijajua mwalimu gani mwingine wa biology pale CONAS ambae ana First class!
Hivi mpaka ulivofikia hapo hujajua tu tofauti ya Geology na Geography, na pia lazima utofautishe in Geology na With Geology
Tangu department ya Geology ilioanzishwa kulikuwa na kozi moja tu ya Bsc IN Geology na hapajawahi kuwa na first class, hao wote wakina Prof Muhongo, Mruma, Maboko, Ikingura nk hakuna mwenye first class, Hapo kuna Maprof ambao ni walimu wa mwanzo kabisa walikiwa na B tu, B+ ni za kutafuta
Fisrt class kutoka Geology zimeanza wakati wa kozi mpya zilizoanzishwa hapo , yaani unakuta Bsc. Geology with Geography so watu wanakomba points kutoka kwenye Geography na ndio wanapiga hizo 1st class