Kimeumana Bungeni! Spika Ndugai ahoji kama kuna mgao wa umeme nchini

Hana weledi na uzoefu. Kwa kupendelewa kaanzia kazi ikulu baada ya chuo. Alipewa kishikaji kazi enzi za jk. Tangu hapo anajiona presidential material na huku uwezo hana.
You are very bright. Alipewa kishkaji kazi na jk kwa mgongo wa baba yake na kina lowasa enzi zile. Sasa anajiona ni presidential material kuliko hata VP wala PM.
 
Nini maana ya Intelligence Justice?
Nakuunga mkono, huyu waziri anavisingizio vingini visivyo na mantiki yoyote.

Suala ni kwamba mtoto wa 'elites' hakosei, kapelekwa pale kwa mbereko za baba yake ili kufanikisha biashara zao.

Eti anahujumiwa, wakati anaingia na mbwembwe za kufukuza aliowakuta kwa kuwatweza alifikiri ana akili sana na kwamba hakujua kwamba tangu 2016-Machi 2021 umeme haukuwahi kukaktika kijinga bila taarifa zozote?

Hakuna anayehujumu chochote isipokuwa jwamewekwa pale wasio na weledi wa kazi zaidi ya kuchimbua ni kwanini waliokuwepo walikuwa wanafanikiwa wameshindwa kupata jibu.

Huyo waziri aondoke kama hataki kjiuzulu basi asubiri kulengeshwa kwenye kashfa ambayo atajuta ni kwanini alikubali kupokea jukumu asiloliweza. Ukiingiza siasa kwenye kazi huwezi kufanikiwa kamwe
 
Tatizo ni muundo wa shirika wenyewe , uwezi kuwa mzalishaji mwenyewe, msambazaji miundo mbinu mwenyewe, muuzaji wa umeme mwenyewe, uliona wapi? Tanesco chagua moja ufanye kwa ufanisi.
 
Hakuna wizara iliyoongozwa na January ikafanikiwa, huyu dogo anachojua ni kutengeneza michongo ya kupiga tu.
Acheni wivu ninyi sukuma gang. Thibitisha kauli yako hii ya kifedhuli kwa kuleta ushahidi hapa.

Huyo msukuma kwenzenu aliyekuweoo hapo wizara ya nishati alifanya nn cha maana??
 
Makamba is not ready for prime time. He might good at Tweeting; but, does have what it takes to run TANESCO let alone Wizara ya Energy.
 
Waziri mwenyewe jipu. Badala ya kutembelea miradi ya umeme anatembelea arabuni.
Waziri Makamba yupo vizuri sana, tatizo lipo kwa baadhi ya watendaji wa TANESCO, wapo wanao jiona mingu watu yaani wanajifanya hawakamatiki!!
wanajifanya bila wao mambo hayawezi kwenda!!
wala rushwa, waapika majungu na fitina, wasaka vyeo, wasio penda kufuatiliwa n.k,
hao ndio wanatakiwa watambuliwe na kisha washughulikiwe ipasavyo ili shirika letu liwe na Taja kwa uchumi wetu.

Hayati JPM aliwahi kusema hivi;
ktk kipindi chake alibaini hujuma ilikuwa ikifanywa na baadhi ya wafnyakazi wa Bwawa la Mtera wakidai eti kina cha maji kimepungua ili wafanya biashara wa majenereta wauze........
hii inaonyesha kuwa bado kuna wafanyakazi wa SHIRIKA LA TANESCO sio waaadilifu kabisaaa.
 
Hakuna wizara iliyoongozwa na January ikafanikiwa, huyu dogo anachojua ni kutengeneza michongo ya kupiga tu.
Mama anachohangaika nacho kwa sasa ni kuchaguliwa 2025, hivyo kuna watu wamewekwa kwa ajili ya kutafuta pesa za uchaguzi mkuu.
 
TANESCO inapaswa ifumuliwe yote, inaonekana baadhi ya watumishi wa Tanesco wanaihujumu Serikali, hivyo waziri na watendaji wake watupie jicho kila kona ya Tanesco


Sio kweli... Tanesco iko sawa January apige kazi tu asikae kae ofisini kiboss boss , hii wizara inabidi ujitoe kweli kweli
 
Back
Top Bottom