Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,953
- 93,931
Ohh mabwawa maji yamepungua
Sasa inabidi tutumie mitambo tuzalishe umeme😂
Soon utasikia hiyoo
Ova
Hawa jamaa huwa wanacheza na akili zetu tu...😂😂😂
Ohh mabwawa maji yamepungua
Sasa inabidi tutumie mitambo tuzalishe umeme😂
Soon utasikia hiyoo
Ova
SanaaaHawa jamaa huwa wanacheza na akili zetu tu...😂😂😂
Hakuna wizara iliyoongozwa na January ikafanikiwa, huyu dogo anachojua ni kutengeneza michongo ya kupiga tu.
amelelewa hivyo!!!Hakuna wizara iliyoongozwa na January ikafanikiwa, huyu dogo anachojua ni kutengeneza michongo ya kupiga tu.
Hana weledi na uzoefu. Kwa kupendelewa kaanzia kazi ikulu baada ya chuo. Alipewa kishikaji kazi enzi za jk. Tangu hapo anajiona presidential material na huku uwezo hana.Hakuna wizara iliyoongozwa na January ikafanikiwa, huyu dogo anachojua ni kutengeneza michongo ya kupiga tu.
Hivi huku kukatika kwa umeme amekuleta january?Hakuna wizara iliyoongozwa na January ikafanikiwa, huyu dogo anachojua ni kutengeneza michongo ya kupiga tu.
Toka hapa banaHuyu ni Waziri wa 3 tatizo liko pale pale, hata kama ni dhaifu lakini January amelikuta.
Nakuunga mkono, huyu waziri anavisingizio vingini visivyo na mantiki yoyote.Hakuna Tanesco anayeihujumu serikali wewe, usiwasikilize hao kina Makamba na stori zao...
Nchi hii wanaokula nchi ni viongozi na michongo yao, huo unaoona mgao unakuta ni watu wanataka kuuza dizeli na majenereta...
Jaribu tu kufikiria hii nchi ina minara mingapi ya simu, fanya robo tatu ya minara yote nchini ina Diesel Generators, na hizo DG's ili zitembee zinahitaji diesel...na tanks za DG za minara kwa wastani huingiza lita 500 ambazo hulast within a month tu...
Ukiacha hilo, hiyo Tanesco ina madeni chungu nzima yaliyosababishwa na hao hao wanaohoji kukatika kwa umeme huko bungeni kutokana na mamikataba ya kiduanzi...
Dogo ni mku"$&$du sanaHakuna wizara iliyoongozwa na January ikafanikiwa, huyu dogo anachojua ni kutengeneza michongo ya kupiga tu.
Sawa umeme ulikuwa unakatika lakini ni kwa mara chache sana na nidharula sio kama huyu dogo inakuwa kama ibada.Huyu ni Waziri wa 3 tatizo liko pale pale, hata kama ni dhaifu lakini January amelikuta.
Toka aingie ameshindwa kabisa kutembelea miradi ya kimkakati ya umeme. Ye kabakia kusafiri tu nje maana alizimiss sana hizo safari. Hapo wanatafuta pesa za kuhonga wapiga kura na uchaguzi kuelekea 2025.Hakuna wizara iliyoongozwa na January ikafanikiwa, huyu dogo anachojua ni kutengeneza michongo ya kupiga tu.
Waziri mwenyewe jipu. Badala ya kutembelea miradi ya umeme anatembelea arabuni.TANESCO inapaswa ifumuliwe yote, inaonekana baadhi ya watumishi wa Tanesco wanaihujumu Serikali, hivyo waziri na watendaji wake watupie jicho kila kona ya Tanesco
Ww ulitaka akujibu vipi ? Ulitaka uambiwe mtambo mbovu pengo gani wakati NW Byabato alikuwepo tangia enzi za hayati ? ..au ww hufuatilii siasa za nchini hapaAnaulizwa kwa Nini umeme unakatikakatika anajibu ni kutokana na sababu mbalimbali hakika pengo linaonekana
Wamechelewa. Magu alishatupa siri zote za migao ya umeme. Nilisema hii nchi atakayekuja kuongoza baada ya Magu atapata shida sana. Walikosea sana kumpa mtu nchi ambaye sio mwanasiasa.Sasa mjomba Magu si alibana mianya yote ya wapigaji...
Lakini sasa msikilize bwana January anakwambia miaka mitano mitambo ilikuwa haizimwi kupisha kufanyiwa matengezo ya lazima (uongo mweupe kabisa...)