Kimenuka! Ali Kamwe apewa saa 24 amuombe radhi RC wa Tabora kwa kauli zake

Kimenuka! Ali Kamwe apewa saa 24 amuombe radhi RC wa Tabora kwa kauli zake

Ujinga mtupu

We ukiwa mkuu wa mkoa ukaanza kujiingiza kwenye mamipira usitake uchukuliwe kama mteule wa Rais, utachukuliwa na utajibiwa kama shabiki mwingine wa kawaida tu.

Wenyewe mlianza kuongea ushabiki mkijibiwa kishabiki mnapaniki. Akiambiwa aoneshe ushahidi wa meseji walizolipwa wachezaji wa Tabora wacheze chini ya kiwango atatoa?

Yeye alianza kuongelea mapokezi ya Ali kamwe ulitegemea nini?

Msilete siasa kwenye michezo. Huyo mkuu wa mkoa anapenda sana majukwaa na makamera, ipo siku atafurahishwa hataamini!
Mbona unajipa majukumu ambayo yamekuzidi?

Kwa hiyo ww kwa akili zako finyu unachukulia kwamba RC hana taarifa au hana vyanzo vya habari kwa jambo dogo km hilo.

Una upeo finyu kupindukia.
 
Mbona unajipa majukumu ambayo yamekuzidi?

Kwa hiyo ww kwa akili zako finyu unachukulia kwamba RC hana taarifa au hana vyanzo vya habari kwa jambo dogo km hilo.

Una upeo finyu kupindukia.
Ndio nishajipa sasa hayo majukumu na huna cha kufanya.

Alafu mwenye akili finyu ni dada yako ambae yuko radhi ukae kwake wakati mumewe anashinda na taulo na we upo tu humo ndani.

Next time ukijisikia kujibu comments zangu uje kwa adabu! Sinaga shobo na vijana wasiojielewa, sawa?
 
Naona ameshachomekwa Mheshimiwa Raisi hapo


Kamwe omba msamaha maisha yaendelee. Huyu dada sumu aliyotapika hapo sio nzuri.
 
Mteule wa rais kajiingiza mwenyewe kwenye kumi na nane za yanga muacheni atwange mpaka achache. Sasa kama amejiingiza kwenye utani wa timu kuna kosa gani hapo? Ni utani tu kama utani wa simba na yanga. Mkuu wa mkoa kaitania yanga naye akajibiwa
 
Back
Top Bottom