Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,839
ushauri baaazeee...
...Inakuwaje pale baada ya kusota madarasani vya kutosha, na kujipatia Qualifications nzuri, na a dream job inayokamilisha 95% ya matakwa ya maisha ikiwemo a dream car, financial stability na best accomodation money can afford, unakumbana na Top female Executive ambaye haoni, hasikii wala hataki kukubali neno "NO!" toka kwako ili ukajirushe naye...
kimbembe, mashaka na hofu ni pale hata hajali kwamba upo kwenye ndoa imara, tena unajivunia hata kwenda na Wife kwenye (office) family days out na party za kazini i.e hata yeye anamjua (wife) fika!...
Inakuwaje hapa? inabidi kujirusha naye kuukata mzizi wa fitna, au kuuchuna na kusubiria 'after effects of a woman scorned!'
...Inakuwaje pale baada ya kusota madarasani vya kutosha, na kujipatia Qualifications nzuri, na a dream job inayokamilisha 95% ya matakwa ya maisha ikiwemo a dream car, financial stability na best accomodation money can afford, unakumbana na Top female Executive ambaye haoni, hasikii wala hataki kukubali neno "NO!" toka kwako ili ukajirushe naye...
kimbembe, mashaka na hofu ni pale hata hajali kwamba upo kwenye ndoa imara, tena unajivunia hata kwenda na Wife kwenye (office) family days out na party za kazini i.e hata yeye anamjua (wife) fika!...
Inakuwaje hapa? inabidi kujirusha naye kuukata mzizi wa fitna, au kuuchuna na kusubiria 'after effects of a woman scorned!'