kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,669
Gospel music ilitakiwa iwepo, ihusishe wale tu wanaotaka kushiriki masuala ya ulokole wa itikadi kali ndiyo unakwamisha mziki wa injili kupata fursa kama hizi, mbona chanel O hadi gospel music category huwa zinakuwepo kwanini siwe kwetu.
Hata ningekuwa mimi naandaa tuzo nisingeiweka Gospo, Rose Muhando kupewa tuzo na Kili ilikuwa nongwa, watu wakachonga balaa. Hadi Joh Makini akapata cha kuimba, "Wanatuzwa na wanaotengeneza bia....."