Killi Music Awards

Killi Music Awards

Mbona Hawajaweka wimbo bora na msanii bora wa Injili?

"Kill" Music Awards?!
 
Msije mkawa mnatokwa povu bure kumbe hata kuwapendekeza hao wasanii wawe nominated hamkufanya.
 
Tayari maana leo nimepiga na nikasubmit vizuri tu.
Ila wananikera wanavyoweka masharti ya kupiga kila kipengele!
Halafu cha Kiba kipo mwishoooo acha tu.Ilikua kidogo niahirishe ila nikifikiria King tu weeee nikamalizia fastaaa...lol

Mpaka wamewaweka ujue wamequalify so hapo ni kazi kwako kumchagua nani mkali zaidi ya wenzie. Mi nafanya kumbonyezea Kiba tu kwa hao wengine najaza tu nitakavyojisikia.
 
Wimbo wake ulomtambulisha mwanzo wakati anajiita baraka unaitwa SIO FINE.Aliimba;

Ukaona sina thamani kwa penzi langu ukaniacha naliaaa,
na unyenyekevu niloonyesha,kubembelezwa ukakataa,
Sikufa moyo nikaona bora nikufate mumylabda utapokeaa,kwa aibu,Mipango yangu ikagomaa barabara matusi,mate ukaniteemaa
Nami kwa maombiii,nikafunga nikiomba ili mradi uwe wanguu,
Nilpobisha hodii,moyo ukaufunga na ukakana penzi languuu.

Baby so fineee,so fineee!!

Na kichupa kipya kinaitwa SIACHANI NAWE

Ila mi siachani nawe
Na sishindani...nawe
Maana upo moyoni mwangu
Acha nisote mie.
 
Pengine hayupo karibu na wadau wakuu, maana inashangaza mtu kama Jux anapata nomination zote hizo kwa mziki gani? Ndo tuseme watanzania wanampenda sana wamempigia kura? Huu ni urongo...

Sijui tu kwakweli maana kijana yuko poa na nyimbo zake hazifichiki zinatamba Tz yote na kwingineko.
Besides, juhudi za huyu kaka hazishuki na ufanisi unaongezeka daily hata kwenye mashairi pia mzima.

Sitaki kuamini kama wale wote ni vipofu hata wasimuone/kumkumbuka Mavoko!
 
Hayupo hata sijashtuka maana hajui soko linataka nini kaanza vizuri ila anajishusha mwenyewe

Haa you can't be serious!
Tokana na game lilivo hawezi tajwa Barnaba halafu mavoko akasahaulika.
Hawa watu ni kama wanaenda sambamba.
 
Huyu Baraka Da prince ana stahili kabisa...Rich mavoko ni wazi kura za nomination hazikutosha ....me mwenyewe nolimsahau kum nominate kwa hiyo ni wazi kabisa alikosa nomination za kutosha!

Ukiangalia hapo utagundua Jide pamoja hakuwa na nyimbo zilizo tamba sana lakini alikuwa na nomination nyingi ndio maana katokeza..lakini nina hakika kazi hipo kuibuka bingwa maana stage ya kutafuta mshindi majudge nao wanakuwa na nguvu wana angalia kama kweli ana stahili...

Pia kumweka Roma katika kipengele cha msanii bora wa hip hop na kumuacha Young killer ni udhaifu ni wazi majudge wanatakiwa kuwa na nguvu kuanzia mwanzo hadi mwisho....haya mambo ya mashabiki kuachwa wachague wanao mtaka hata kama hafai yaachiwe Tuzo za watu...!
 
Haa you can't be serious!
Tokana na game lilivo hawezi tajwa Barnaba halafu mavoko akasahaulika.
Hawa watu ni kama wanaenda sambamba.

Yaah! Ndio maana nasema hakuwa na kura za kutosha kulinganisha na Barnaba ila alitakiwa kuwepo ukilinganisha naBarnaba!
 
Sioni sababu ya ALI KIBA kutoketokea mara kwa mara. Ni ujinga ujinga tu.

Hzi zitakua ni tuzo mbovu kuwahi zishuhudia.

Na ole wenu BELE 9 asishinde mwaka huu.
 
Huyu Baraka Da prince ana stahili kabisa...Rich mavoko ni wazi kura za nomination hazikutosha ....me mwenyewe nolimsahau kum nominate kwa hiyo ni wazi kabisa alikosa nomination za kutosha!

Ukiangalia hapo utagundua Jide pamoja hakuwa na nyimbo zilizo tamba sana lakini alikuwa na nomination nyingi ndio maana katokeza..lakini nina hakika kazi hipo kuibuka bingwa maana stage ya kutafuta mshindi majudge nao wanakuwa na nguvu wana angalia kama kweli ana stahili...

Mkubwa em jitunzie heshima yako na ufiche ujinga.
Ulikuwapo ktk kundi la wahesabu kura? Hadi useme kuna mtu kura hazkutosha.
 
Mo music kutokuwepo katika kipengere cha upcoming artist ndio kinafanya niamini hizi tuzo ovyo kabisa na hazina maana dogo mwqka jana wimbo wake umekuwa wimbo wa taifa ukiona kili walivyo vilaza na wapo kuwasikiliza clouds fm wamemuweka dogo kipengele kigumu kweli yupo na kina bella diamond jide unafikilo atachomoa
 
Beka Title apana aisee yan apo ndio kabisaaa unaharibu...Mo Music wamemfanyia Unfair kabisa + Mavoko.Daah

beka tittle kabebwa tu nashangaa wamemuweka
katika kipengele hicho cha chipukizi
 
beka tittle kabebwa tu nashangaa wamemuweka
katika kipengele hicho cha chipukizi

Umeonaee yan apo kwa Upcoming uyo Beka Wamembeba Kwa Baraka da Prince n sawa ila Mo music naye alitakiwa awepo...Ila uku kwa Nyimbo Bora na Msanii bora + Video Bora Mavoko..Nae Daah..
 
Huyu Baraka Da prince ana stahili kabisa...Rich mavoko ni wazi kura za nomination hazikutosha ....me mwenyewe nolimsahau kum nominate kwa hiyo ni wazi kabisa alikosa nomination za kutosha!

Ukiangalia hapo utagundua Jide pamoja hakuwa na nyimbo zilizo tamba sana lakini alikuwa na nomination nyingi ndio maana katokeza..lakini nina hakika kazi hipo kuibuka bingwa maana stage ya kutafuta mshindi majudge nao wanakuwa na nguvu wana angalia kama kweli ana stahili...

Yaani ulivyoandika utadhan ulikuwepo kwenye mchakato wa kuhesabu kura
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom