wameingiza nyimbo mbili na nitakupwlepweta. hawa madogo tayari wanatuzo zao mbili.Ohoooo nimeona sasa.
Na wimbo wao wa niseme..
Thank you guys.
hilo kundi la b.o.b linajumuisha blue na nani?
Oyoooooo.Na hizi tuzo za mwaka huu ndio most awaited awards!
Njooni sasa tuanze kujiandaa kupiga kura wakati utakapofika. Mdakuzi Matola Avemaria atoto geniveros cute b Abou Saydou Athen Diva Beyonce lukelo sakafu mnyepe na Kiba fans wote.
Mi ntaendelea kulia na Rich Mavoko tu sijui kawakosea nini wadau
Hivi ni mdau gani wa muziki asione kazi kubwa aloifanya mavoko?
Au wanamfanyia makusudi?
Sielewi!!
Hivi ni mdau gani wa muziki asione kazi kubwa aloifanya mavoko?
Au wanamfanyia makusudi?
Sielewi!!
Hayupo hata sijashtuka maana hajui soko linataka nini kaanza vizuri ila anajishusha mwenyewe
Usibonyezeeee yaani!!!
Ni mwendo wa kura tu!
Hivi kule kwenye tuzo za watu washarekebisha web yao maana ilikuwa inagoma kwenye kusubmit.
wameingiza nyimbo mbili na nitakupwlepweta. hawa madogo tayari wanatuzo zao mbili.
Hivi Rich Mavoko ana gundu gani jamani? Hiyo Asante ya Ay ndo ikoje kwanza?
Dah kweli pacha wangu imeachwa ivo ivooo jamani. Too bad
Mi ntaendelea kulia na Rich Mavoko tu sijui kawakosea nini wadau