Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,409
- 82,301
Huyu dogo anaanza kulewa sifa sasa.Hizi ndio tuzo za kwanza kwake tokea aanze mziki na hata hivyo kapata nomination moja sio mbaya.
Sasa Mavoko aseme vipi? Ameanza muziki siku nyingi na hajawahi kutoa nyimbo mbaya hata moja.Tena nyingine zimewahi kuwa kama nyimbo za taifa mf. Roho yangu.
Hapo sijasema kuhusu belle 9.
Sasa Mavoko aseme vipi? Ameanza muziki siku nyingi na hajawahi kutoa nyimbo mbaya hata moja.Tena nyingine zimewahi kuwa kama nyimbo za taifa mf. Roho yangu.
Hapo sijasema kuhusu belle 9.