Killi Music Awards

Killi Music Awards

Huyu dogo anaanza kulewa sifa sasa.Hizi ndio tuzo za kwanza kwake tokea aanze mziki na hata hivyo kapata nomination moja sio mbaya.
Sasa Mavoko aseme vipi? Ameanza muziki siku nyingi na hajawahi kutoa nyimbo mbaya hata moja.Tena nyingine zimewahi kuwa kama nyimbo za taifa mf. Roho yangu.
Hapo sijasema kuhusu belle 9.
 
katika ii Tanzania kuna waimbaji wawili tu RICHARD MAVOKO NA BARNABA BASI
 
Bora atoke Tu, yaani bidii yote sijui katupwa category ya rhumba!
Anaweza kwenda afu atataudanganya moyo utatulia
 
Jamani nauliza tu... Hizo tuzo huwa zinaenda sambamba na kiasi cha fedha au ni tuzo tu....

Kuuliza sio ujinga wanajamvi...

Fedha wapi wee charminglady!sifa tu na wenyewe wanadai heshima kwa msanii lakini cha ajabu wengine wakipokea hizo tuzo tunawasahau kabisaaaaaa
 
Kama mmekuwa mkifatilia vyema huu mchakato tangu umeanzishwa na utaratibu wake wala msinge shangaa mimi kusema hivyo.
Kwa kuwajuza tuu katika hii hatua huwa wananchi ndio hupendekeza watu au wanamuziki kwa kila kipengele husika na baada ya watu kupendekeza hivyo walio pata kura nyingi ndio hubaki kwenye kipengele husika!
Hivyo basi ukiona jina la msanii husika halipo majibu huwa ni mawili..
Kura zake hazikutosha au hakupendekezwa kabisa...hivyo huitaji kuwa judge kulijua hilo jambo! Tatizo watu hawajui utaratibu na wala hawakuwapendekeza watu wao lakini ndio walalamikaji wa kwanza.

Kwaio kazi ya basata ilikua ni kuhesabu kura tu?
 
huyo Mo Music mshamba kwel anajidai ameshakua star wa kususia vitu wakati bado alfajiri kabisa. Nina uhakika ata angewekwa kwenye hicho kipengele angeburuzwa na Baraka Da Prince coz dogo yupo njema kuliko yeye.
Anawasikiliza XXL wale hawana cha kupoteza.

Asijilinganishe na Dully yule nguli long time kwenye game.
 
Hamchoki kuwasingizia Cloudz? Ingekuwa tuzo za Cloudz wangemuweka Jide kwenye vipengele vyote hivyo?

Nimetoa maoni yangu kama mtu neutral nisiye na ushabiki mandazi, nathamini mchango mkubwa wa clouds media pia kama kuna weaknesses mahali ni lazima tuziguse. Thus ol
 
Nimetoa maoni yangu kama mtu neutral nisiye na ushabiki mandazi, nathamini mchango mkubwa wa clouds media pia kama kuna weaknesses mahali ni lazima tuziguse. Thus ol

Umeweka mchango wa uongo na uchonganishi na umeulizwa swali la msingi....
 
huyo Mo Music mshamba kwel anajidai ameshakua star wa kususia vitu wakati bado alfajiri kabisa. Nina uhakika ata angewekwa kwenye hicho kipengele angeburuzwa na Baraka Da Prince coz dogo yupo njema kuliko yeye.
Anawasikiliza XXL wale hawana cha kupoteza.

Asijilinganishe na Dully yule nguli long time kwenye game.

We nawe sijui umekula maharage ya wapi? Unaiaibisha JF, unaibisha members wote, hufai wewe, kalale mzee.

Hivi hujui kuwa Mo music ni msomi? Anachukua bachelor SAUT kwahiyo ana ufahamu na sio mtu wa kupelekeshwa kama wasanii wa Form2.
 
Umeweka mchango wa uongo na uchonganishi na umeulizwa swali la msingi....

Nimesema hivyo sababu hii kitu nimeona hata Adamu Juma akilalamikia instagram japo hajasema directly lakini wenye uelewa tumeconect matukio tumepata jibu, Nani asiyejua kuwa Clouds ndiyo waliompa promo Nisher kwa lengo la kumshusha Adamu Juma lakini jamaa akashtukia mchezo? Pia baada ya Nisher kuzinguana nao, wakaanza kumpa promo Hascana kwa lengo la kumshusha Nisher,

Fatilia mkuu utaelewa, japo sio lazima niwe sahihi kwa 100%·
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom