Killi Music Awards

Killi Music Awards

Aaanhaaaa basi hapa ndo nimemuelewa nifah alichokuwa anamaanisha siku ile kuhusu vipengele.

Kwakweli kuna vipengele vingine havinihusu ila ndo vile tunatereza tu!

Yaani kinachonihusu eti kimewekwa mwishoooo, nyang'au kweli hawa
 
Last edited by a moderator:
Vitamin music then yamoto band ndo sehemu ntakazo dili nazo
 
Jamani hizi nominations zimefanywa na watanzania wenyewe, so lawama zote ziende kwetu
 
View attachment 247795View attachment 247796

Lady jaydee dada yako siku zote uongo hupanda lifti na ukweli hupanda ngazi, usikate tamaaa hata kama wamedhamilia kukushusha.

Sikuwahi kuusemea ugomvi wowote unaohusu Clouds Media lakini kwa hili wamevuka viwango vya kitaaluma. Sipati picha wale wanaopata habari kupitia wao tu watajisikiaje kudanganywa kiasi hiki. Hapa wamenajisi fani na taaluma ya uandishi. Clouds; mnajishushia heshima mliyonayo. Badilikeni.
 
Kipindi hiki wamemuweka Lady Jay Dee na Belle 9 ?
Makubwa
 
halafu jina lako mbona linafanana na la binti. wa binamu yetu,??

Binamu linafana lakini si la binti! Hilo ni jina la ticha wangu MWANAUME miaka ya 90 alinifundisha History nikapiga banda hatari likanipa UGALI juu ya meza mpaka sasa.
 
Binamu linafana lakini si la binti! Hilo ni jina la ticha wangu MWANAUME miaka ya 90 alinifundisha History nikapiga banda hatari likanipa UGALI juu ya meza mpaka sasa.

Hongera kwa kum_honor ticha!!

Miaka ya 90 hope umekula chumvi kidogo.

I got same grade olevel lakini ni 8 years ago
 
Binamu linafana lakini si la binti! Hilo ni jina la ticha wangu MWANAUME miaka ya 90 alinifundisha History nikapiga banda hatari likanipa UGALI juu ya meza mpaka sasa.

Sijui na mimi watanipa hiyo heshima? Mwaka jana nimetoa A nne na B+za kumwaga
 
Oyoooooo.Na hizi tuzo za mwaka huu ndio most awaited awards!
Njooni sasa tuanze kujiandaa kupiga kura wakati utakapofika. Mdakuzi Matola Avemaria atoto geniveros cute b Abou Saydou Athen Diva Beyonce lukelo sakafu mnyepe na Kiba fans wote.

So bad Yamoto band wamepata nominations mbili tu japo wametamba sana mwaka huu.
Too bad kwa Rich Mavoko pamoja na kujitahidi sana ila sijaona akipata nominations hata 1! Wimbo wa pacha wangu na video yake vilistahili hata kupata tuzo moja!
Kitambo sana nifah, pamoja sana K4Real. Ingawaje nimeadimika sana lakini wajibu wangu nimeutekeleza kama kawa.
 
Last edited by a moderator:
vlcsnap-2015-05-07-23h38m40s151.png vlcsnap-2015-05-15-23h22m26s147.png vlcsnap-2015-05-15-23h24m41s219.png vlcsnap-2015-05-15-23h25m36s254.png

Ni kweli kwamba hatukuichagua.VIDEO YA DECADE HII.. watajua wenyewe na siasa zao!!!!!!!!!

Nitakuwa wa mwisho kuamini. kuna siasa pale>> KTMA. HAIWEZEKANI
 
Video kali sana naikubali, namna hii awa kili wanarudisha nyuma muziki. Sio sawa kbs.
 
kili wanazingua sana hawa jamaa wana mjaza mtu mmoja kwenye kategori nyingi ambazo ni wazi upendeleo unafanyika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom